Hivi visomo huwa vinasaidia?

Hivi visomo huwa vinasaidia?

tutafikatu

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2011
Posts
3,327
Reaction score
4,624
Mara nyingi nimeona matukio kadhaa ya watu kutishiwa kufanyiwa KISOMO. Juzi wamefanyiwa KISOMO waliomteka MO, lakini mpaka sasa hawajapatikana. Huwa najiuliza hiki KISOMO kimeshawahi mvua nguo mtu?
 
Mara nyingi nimeona matukio kadhaa ya watu kutishiwa kufanyiwa KISOMO. Juzi wamefanyiwa KISOMO waliomteka MO, lakini mpaka sasa hawajapatikana. Huwa najiuliza hiki KISOMO kimeshawahi mvua nguo mtu?
We hujasikia wamemteka kwa lengo la RANSOM lakini wakapagawa wakamwambia Mo aongee na familia kuhusu matakwa yao "akawaambia ongeeni nyinyi bana si dili yenu"....wakapagawa wakamuachia mpaka silaha zenye thamani ya milioni tisa. Kisomo hicho!
 
May be sometimes yes sometimes no
 
Kuna haja ya kuwa na flying squad kama Kenya sio kukanusha kupiga mkwara Sirro kuwapiga mkwara bllogers na you tubers.mzee muachie Murotto uji wa moto.
 
Mkuu kisomo kilikua kizito mpaka watekaji wanamlazimisha kula.
Yaani wamemrudisha Kama kisomo kilivyolenga.
Na kwa watekaji majibu ya kisomo utaanza kuyaona muda sio mrefu
 
Japo Mimi sio muislamu lakini naamini visomo vinafanyakazi
 
apo Mimi sio muislamu lakini naamini visomo vinafanyakaz

UNATAKA USHAHIDI GANI TENA ZAIDI YA MO KURUDI SALAMA!! SIO KISOMO TU JE HUKUONA ULE MOTO ALIOUWASHA GWAJIMA?
 
Mara nyingi nimeona matukio kadhaa ya watu kutishiwa kufanyiwa KISOMO. Juzi wamefanyiwa KISOMO waliomteka MO, lakini mpaka sasa hawajapatikana. Huwa najiuliza hiki KISOMO kimeshawahi mvua nguo mtu?
Si unaona walivyochanganya mafaili?
 
Wenye kisomo wachochee kuni ili wazungu wawili wafanyayo mambo ya kitoto,warudi utotoni waliporukia stage
 
Back
Top Bottom