Kwani ubora kwako ni nini? Uzuri, uimara, au kudumu maana lazima ujue unchotaka ndio ujue unanunua nini, chuma ni durable ila hakitakupa muonekno nzurii, mbao kama mpingo ambayo ni ngumu na itaishi maisha marefu haifai kwasabbu hata msumeno hauwezi kukata vizuri mbao yake, miti mingine kama mninga, mtiki, mvule au mkongo na yakufanana na iyo inauzwa ghali sana kitanda chake si mchezo kununua labda uibe mbao ukampe fundi ila ukidakwa ni juyako.
Sofa na mbao laini ndo option ya kitanda cheap lakini vinapewa muonekano mzuri vinadumu kwa muda mfupi , na tafadhali usiwe mchafu na sofa bed kunguni watakuua. Kwa maelezo hayo nafikiri tafakari ubora kwako unaangalia nini then the choice is yours