Hivi vitimu dhaifu huwa vinashangilia sana vikibahatisha kufunga timu kubwa

Hivi vitimu dhaifu huwa vinashangilia sana vikibahatisha kufunga timu kubwa

kibaravumba

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
6,634
Reaction score
7,015
Unaweza usijue maana yake ila kuna raha sana timu yako ikiwa underdog kuishinda club kubwa.

Niko mkoani huku bado naona kuna Bajaji inatembea na bendera ya njano.Unaweza kufikiri timu yake ndio bingwa.Hata hivyo ni furaha ya kumfunga bingwa.

Hizi timu msimu mzima zinajiandaa kwa mechi dhidi ya timu moja tu. Hazijiandai kwa ubingwa.

Hongera mnyama kwa ubingwa
 
Mbona hamna furaha na ubingwa wenu? Kama wanasherehekea kuwafunga nyie, basi na nyie sherehekeeni ubingwa wenu. Kwann uteseke na yasiyokuhusu [emoji3][emoji3][emoji3]

NB: bingwa alipatikana tar3. Sasaiv nikukamilisha ratiba ya ligi tu.
 
Subirini tar 22 msome habari ya CAS ndo mtajua bingwa ni nani
 
Mabingwa mara ya 4 mfululizo. Hongereni sana. Najua ndo lilikuwa lengo lenu. Sisi yanga tunajiandaa kuwafunga simba tu.
 
Simba wamewakojolea wengi!!!
Ila wamekojolewa na mmoja tu...tena kimoko.....tena mbele ya rais...tena baada ya kuwa na mwizi wa sauziafricana

..tena baada ya kulazimisha sanaAaa

.tena baada ya KARIA WENU KUNGA'NG'ANIA

Tena..
Tenaaaaaaa baaada yAaaa!!!!!!!
 
Shangilieni ubingwa wenu sisi timu yetu siku zote ni bingwa ndo maana tuna furaha siku zote,hata tarehe 25 mkitufunga tutaifurahia timu yetu na tutafanya shughuli zetu kama kawaida...
 
Unaweza usijue maana yake ila kuna raha sana timu yako ikiwa underdog kuishinda club kubwa.

Niko mkoani huku bado naona kuna Bajaji inatembea na bendera ya njano.Unaweza kufikiri timu yake ndio bingwa.Hata hivyo ni furaha ya kumfunga bingwa.

Hizi timu msimu mzima zinajiandaa kwa mechi dhidi ya timu moja tu. Hazijiandai kwa ubingwa.

Hongera mnyama kwa ubingwa
Vipi hali ya kiwanjani, Mze Mpili hakaonekana usiku huko na mikoba yake? Eti tunasikia anaishi nyumbani kwa Zitto Kabwe, ni kweli?
 
Aacha bindamu wawe na furaha... ndiyo amano yenyewe hiyo...
 
Back
Top Bottom