Hivi vitimu vidogo vyote vinaikamia Simba tu.

Nimesikitishwa na mchezo wa Dodoma jiji kwa kuwa waliimgia na nia ya kuumiza wachezaji.Huu uhuni unaratibiwa na kitimu chenzao kidogo ila kikongwe.
Ushindi wenu wa leo haukustaili hata kushangilia maana full team vs dodoma iliyopwaya wachezaji wawili kwa timu kubwa kama simba ni aibu
 
Hivyo vitumu vikicheza na river united havihaidiwi hela ila vikicheza na Simba hadi M500 vinahaidiwa haviajiamini
 
Nimesikitishwa na mchezo wa Dodoma jiji kwa kuwa waliimgia na nia ya kuumiza wachezaji.Huu uhuni unaratibiwa na kitimu chenzao kidogo ila kikongwe.
Uwezo wenu ndiyo huu! Hakuna timu inayo wakamia. Wachezaji wenu wengi ni wazee! Ukimgusa kidogo tu, kaumia.

Kagere kafunga goli la kuotea, anashangilia mpaka kufikia hatua ya kuvua jezi!!
 
Timu kongwe ni likubwa jinga linataka kufanikiwa kwa shortcut
Timu kongwe kubwa jinga miaka 4 halipati kombe halitaki kujiandaa na kukubali udhaifu wake kinachofuata uongozi wanatoa hela kwa timu mbovu ili Simba ifungwe mpira haupo hivyo ukiikosa hiyo timu nenda kaitafute jalalani au jaangwani utaipata maana ni mbovu
 
Sasa nimeamini Luis na Chama ndio walio ibeba Simba maana kinacho chezwa uwanjani kwa Sasa na Simba ni pira futuhi.
 
Kuna kiongozi wa njuka ndiye anaratibu nasikia sikia tu sijui ni kweli..? Uto
 
Nimesikitishwa na mchezo wa Dodoma jiji kwa kuwa waliimgia na nia ya kuumiza wachezaji.Huu uhuni unaratibiwa na kitimu chenzao kidogo ila kikongwe.
Hakuna timu ndogo kongwe,acha kutudanganya.
 
Sasa nimeamini Luis na Chama ndio walio ibeba Simba maana kinacho chezwa uwanjani kwa Sasa na Simba ni pira futuhi.
Huyo chama mbona haisaidii berkane mechi ya nne wametoa droo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…