Hivi vitu vina kazi gani kwenye gari?

Hivi vitu vina kazi gani kwenye gari?

baharia 1

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2019
Posts
1,580
Reaction score
1,773
Wakuu hivi vitu vina kazi gani kwenye gari [emoji1] maana nimekuwa mshambaView attachment 3153521
IMG_20241115_233849_537.jpg
 
Hii hapa ya kiweka ETC card, Electronic Toll Collection, kwa Japan wanatumia sana.

IMG_0660.jpeg

Kama jina linavyojieleza, ETC kinakusaidia kulipa toll mfano kwenye kivuko kama Kigamboni au Malls kama Mlimani City au Daraja kama la Kigamboni bila kusimamisha gari.

Yaan unalipa kwa kukatwa automatically.

Tz hatuna Kwahiyo kinabaki pambo tu
 
Hii hapa ya kiweka ETC card, Electronic Toll Collection, kwa Japan wanatumia sana.

View attachment 3153530
Kama jina linavyojieleza, ETC kinakusaidia kulipa toll mfano kwenye kivuko kama Kigamboni au Malls kama Mlimani City au Daraja kama la Kigamboni bila kusimamisha gari.

Yaan unalipa kwa kukatwa automatically.

Tz hatuna Kwahiyo kinabaki pambo tu
Kwahiyo hakuna kazi maana nikichomeka card Yake kinanipigia makelel so nikivunje ?
 
Hii hapa ya kiweka ETC card, Electronic Toll Collection, kwa Japan wanatumia sana.

View attachment 3153530
Kama jina linavyojieleza, ETC kinakusaidia kulipa toll mfano kwenye kivuko kama Kigamboni au Malls kama Mlimani City au Daraja kama la Kigamboni bila kusimamisha gari.

Yaan unalipa kwa kukatwa automatically.

Tz hatuna Kwahiyo kinabaki pambo tu
Hii kiusalama naona imekaa poa sana
 
Back
Top Bottom