baharia 1
JF-Expert Member
- Sep 13, 2019
- 1,580
- 1,773
Wakuu hivi vitu vina kazi gani kwenye gari [emoji1] maana nimekuwa mshambaView attachment 3153521
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii hapa ya kiweka ETC card, Electronic Toll Collection, kwa Japan wanatumia sana.
Kwahiyo hakuna kazi maana nikichomeka card Yake kinanipigia makelel so nikivunje ?Hii hapa ya kiweka ETC card, Electronic Toll Collection, kwa Japan wanatumia sana.
View attachment 3153530
Kama jina linavyojieleza, ETC kinakusaidia kulipa toll mfano kwenye kivuko kama Kigamboni au Malls kama Mlimani City au Daraja kama la Kigamboni bila kusimamisha gari.
Yaan unalipa kwa kukatwa automatically.
Tz hatuna Kwahiyo kinabaki pambo tu
Ndio vunja..Kwahiyo hakuna kazi maana nikichomeka card Yake kinanipigia makelel so nikivunje ?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 duhNdio vunja..
Hii kiusalama naona imekaa poa sanaHii hapa ya kiweka ETC card, Electronic Toll Collection, kwa Japan wanatumia sana.
View attachment 3153530
Kama jina linavyojieleza, ETC kinakusaidia kulipa toll mfano kwenye kivuko kama Kigamboni au Malls kama Mlimani City au Daraja kama la Kigamboni bila kusimamisha gari.
Yaan unalipa kwa kukatwa automatically.
Tz hatuna Kwahiyo kinabaki pambo tu
Kama inatembea unyama mkuu, hivyo vingine achana navyo 😆😆 ... !!Gari inatembea mmuu Haina shida
Kiache tu maana kina waya umeunganishwa kwenye screen kukutoa ni complicated.Kwahiyo hakuna kazi maana nikichomeka card Yake kinanipigia makelel so nikivunje ?
Wakuu hivi vitu vina kazi gani kwenye gari [emoji1] maana nimekuwa mshambaView attachment 3153521View attachment 3153522
wee ilete tuuurekebishe nn sasa