Hivi Vituo vya Lake Oil wanatoa wapi mafuta?

Hivi Vituo vya Lake Oil wanatoa wapi mafuta?

Elly official

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2018
Posts
730
Reaction score
989
Wakuu heshima kwenu, kwa muda sasa toka Corona ianze nimekuwa nasafiri na kibaby walker changu popote ninapoenda and huwa nasafiri mikoa mbalimbali hapa TZ Bara na kila mkoa lazima nisimame kuweka wese.

Sasa nilichogundua kwa tz nzima lake oil mafuta yao hawazidi 2500 wakati vituo vingi vinauza hadi 2600. Mfano mkoa ninaoishi ni 2450 ila vituo vingine ni 2600.

Hebu wajuzi wa mambo naomba kujuzwa.
 
Lake anafanya biashara ya mafuta kwa jumla na reja reja, nafikiri ni moja ya kampuni kubwa ya usafirishaji wa mafuta kwa maana ana tankers za kutosha, na ni kampuni pekee yenye vituo vingi vya mafuta nchini, hakuna mkoa ambao lake hana kituo

Here is how it works! Ana mafuta, ana usafiri wake, kwa hiyo anaweza kupunguza faida ya transport ili auze mafuta bei rahisi na kuliteka soko.
 
Na kila mkoa lazima nisimame kuweka wese
Unatoka Dar umejaza wese, ukifika Pwani unajaza, ukifika Moro au Mkata(Tanga) unajaza au ukifika Iringa unajaza, Makambako ( Njombe region) unajaza, ukifika Igurusi (Mbeya) unajaza, Ukifika Songwe unajaza, ukifika pale mbele kidogo nimepsahau ila ni Rukwa, unajaza...hii ni bodaboda Mpwa?
 
Unatoka Dar umejaza wese, ukifika Pwani unajaza, ukifika Moro au Mkata(Tanga) unajaza au ukifika Iringa unajaza, Makambako ( Njombe region) unajaza, ukifika Igurusi (Mbeya) unajaza, Ukifika Songwe unajaza, ukifika pale mbele kidogo nimepsahau ila ni Rukwa, unajaza...hii ni bodaboda Mpwa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wakuu heshima kwenu, kwa muda ss toka corona ianze nimekuwa nasafiri na kibaby walker changu popote ninapoenda and huwa nasafiri mikoa mbalimbali hapa tz bara. Na kila mkoa lazima nisimame kuweka wese. Sasa nlichogundua kwa tz nzima lake oil mafuta yao hawazidi 2500 wakati vituo vingi vinauza hadi 2600. Mfano mkoa ninaoishi ni 2450 ila vituo vingine ni 2600. Hebu wajuvi wa mambo naomba kujuzwa.
Ulishasoma huu uzi
 
Unatoka Dar umejaza wese, ukifika Pwani unajaza, ukifika Moro au Mkata(Tanga) unajaza au ukifika Iringa unajaza, Makambako ( Njombe region) unajaza, ukifika Igurusi (Mbeya) unajaza, Ukifika Songwe unajaza, ukifika pale mbele kidogo nimepsahau ila ni Rukwa, unajaza...hii ni bodaboda Mpwa?
Anajaza Lekioil anapigwa upepo tu,mafuta weka Puma, Total lkn huyu, utaniambia life ya injini itakuwaje
 
Ukiweka mafuta yao tegemea miss firing kwenye gari yako
Huwezi kuwa unasafiri safari ndefu hivyo halafu kila kituo unaweka mafuta, last two months tulikua na shughuli, sasa binafsi nilikua Shinyanga, shughuli ilifanyikia maeneo ya Manyoni (sio manyoni hasa) basi ndugu yangu katoka Dar na Extrail kafika pale junction jioni kaweka wese yaani asubuhi gari inatetemeka utadhani utumbo ukiwa umeshikwa baridi.

Gari kurudi nayo kwa mbinde hadi Moro. Ikashindikana kuendelea maana inakunywa wese vibaya sana.

Ameingia gharama kubwa kuirudisha kwenye hali yake kisa mafuta tena ya 20,000
 
Huwezi kuwa unasafiri safari ndefu hivyo halafu kila kituo unaweka mafuta, last two months tulikua na shughuli, sasa binafsi nilikua Shinyanga, shughuli ilifanyikia maeneo ya Manyoni (sio manyoni hasa) basi ndugu yangu katoka Dar na Extrail kafika pale junction jioni kaweka wese yaani asubuhi gari inatetemeka utadhani utumbo ukiwa umeshikwa baridi.

Gari kurudi nayo kwa mbinde hadi Moro. Ikashindikana kuendelea maana inakunywa wese vibaya sana.

Ameingia gharama kubwa kuirudisha kwenye hali yake kisa mafuta tena ya 20,000
Ni wiki tu mafuta ya hao jamaa yaneniletea miss nilisha notisi ukweli napenda Total na Puma, itokee tu ndio nitaweka mafuta vituo tofauti
 
Ni wiki tu mafuta ya hao jamaa yaneniletea miss nilisha notisi ukweli napenda Total na Puma, itokee tu ndio nitaweka mafuta vituo tofauti
Shida ya mafuta ya lake ni hiyo!! Hana quality control

Tatizo linaanza anachukua randomly trucks za fuel delivery katika vituo vyake , hii inawapa mwanya madereva wasio waaminifu kuchakachua mafuta kwa sababu wanajua ni ngumu sana kwa meneja wa kituo kujua ni lori ipi ilibeba mafuta machafu na lini. Tofauti na vituo binafsi ambayo vinakuwa na gari maalum kwa kazi hiyo.
 
Lake anafanya biashara ya mafuta kwa jumla na reja reja , nafikiri ni moja ya kampuni kubwa ya usafirishaji wa mafuta kwa maana ana tankers za kutosha, na ni kampuni pekee yenye vituo vingi vya mafuta nchini , hakuna mkoa ambao lake hana kituo ,
Here is how it works !! Ana mafuta, ana usafiri wake , kwa hiyo anaweza kupunguza faida ya transport ili auze mafuta bei rahisi na kuliteka soko.
Ana storage facility zake pia
 
Lake Oil, Camel Oil na Oil Com.

Bora nipaki mkweche wangu home.
 
Wakuu heshima kwenu, kwa muda sasa toka Corona ianze nimekuwa nasafiri na kibaby walker changu popote ninapoenda and huwa nasafiri mikoa mbalimbali hapa TZ Bara na kila mkoa lazima nisimame kuweka wese.

Sasa nlichogundua kwa tz nzima lake oil mafuta yao hawazidi 2500 wakati vituo vingi vinauza hadi 2600. Mfano mkoa ninaoishi ni 2450 ila vituo vingine ni 2600.

Hebu wajuzi wa mambo naomba kujuzwa.
Mtwara ndio walikomesha yalishuka mpaka 1500, walikuwa wanashindana na petrol stations zingine
 
Back
Top Bottom