Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Ikiwa nchi zote zilizoendelea zikiwa ziko mbioni ( baadhi tayari) kuondoka kwenye analog transmissions kwenda digital, Tanzania wana mpango gani? Na nini athari zake kwetu sisi ambao ni addicts wa CNN na BBC?