Hivi vituo vya televisheni Tanzania zinampango wakwenda digital?

Hivi vituo vya televisheni Tanzania zinampango wakwenda digital?

Fundi Mchundo

Platinum Member
Joined
Nov 9, 2007
Posts
10,448
Reaction score
8,705
Ikiwa nchi zote zilizoendelea zikiwa ziko mbioni ( baadhi tayari) kuondoka kwenye analog transmissions kwenda digital, Tanzania wana mpango gani? Na nini athari zake kwetu sisi ambao ni addicts wa CNN na BBC?
 
Back
Top Bottom