Hivi Vodacom mmekuwaje?

Hivi Vodacom mmekuwaje?

Fumadilu Kalimanzila

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2016
Posts
1,770
Reaction score
5,423
Kwa muda mrefu Vodacom wamekuwa ndio mtandao wangu namba moja na pendwa.

Katika siku za karibuni Vodacom wanakuwa kutoka ukubwa wa Simba na kurudi kuwa Paka na wakiendelea hivi watakuwa Panya kabisa!

Sikiliza maelezo yao kwa mteja unapopiga namba 100 ni ya kipuuzi sana na hakuna option tena ya kuongea na Mhudumu wetu.

Eti ubunifu wao ni kumwambia mteja mwishoni mwa maelezo yao walio rekodi ya kipuuzi eti kama unataka kusikiliza maelezo haya tena bonyeza, badala ya kum- refer mteja kwa "mhudumu wetu" ujinga mtupu!

Hivi nyie Vodacom mnadhani mnajua kila tatizo alilonalo mteja wenu? Hivyo changamoto mlizorekodi ndizo mnajua ndizo changamoto pekee za mteja. Mnadanganywa na Wataalam vilaza.

Kwenye international platforms tunakofanya "instant payments" option ya mobile banking kupitia mitandao ya simu za hapa nchini, Vodacom mmekuwa useless kabisa!
 
Kuongea na mteja wanaona ni kero ndio maana wameficha ficha mpaka kuongea nao ubonyeze Sana
 
Mitandao ya simu ni ujinga mwingine uliopo nchi hii.tunavumilia tu kwasababu hakuna mbadala.Ila yote ukifatilia huduma zao ni ovyo kabisa.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kwa muda mrefu Vodacom wamekuwa ndio mtandao wangu namba moja na pendwa.

Katika siku za karibuni Vodacom wanakuwa kutoka ukubwa wa Simba na kurudi kuwa Paka na wakiendelea hivi watakuwa Panya kabisa!

Sikiliza maelezo yao kwa mteja unapopiga namba 100 ni ya kipuuzi sana na hakuna option tena ya kuongea na Mhudumu wetu!

Eti ubunifu wao ni kumwambia mteja mwishoni mwa maelezo yao walio rekodi ya kipuuzi eti kama unataka kusikiliza maelezo haya tena bonyeza ...., badala ya kum- refer mteja kwa "mhudumu wetu" ujinga mtupu!

Hivi nyie Vodacom mnadhani mnajua kila tatizo alilonalo mteja wenu?! Hivyo changamoto mlizorekodi ndizo mnajua ndizo changamoto pekee za mteja!
Mnadanganywa na Wataalam vi.laza!

Kwenye international platforms tunakofanya " instant payments" option ya mobile banking kupitia mitandao ya simu za hapa Nchini, Vodacom mmekuwa useless kabisa!!
Join the club. Wameweka AI kabla hawajaifahamu. Ukiwapigia huongei ns binadamu bsli software.
Wamedandia treni ys AI bila kulipa nauli.
 
Nenda Twitter, Insta, FB wanakujibu fasta
 
Kwa muda mrefu Vodacom wamekuwa ndio mtandao wangu namba moja na pendwa.

Katika siku za karibuni Vodacom wanakuwa kutoka ukubwa wa Simba na kurudi kuwa Paka na wakiendelea hivi watakuwa Panya kabisa!

Sikiliza maelezo yao kwa mteja unapopiga namba 100 ni ya kipuuzi sana na hakuna option tena ya kuongea na Mhudumu wetu!

Eti ubunifu wao ni kumwambia mteja mwishoni mwa maelezo yao walio rekodi ya kipuuzi eti kama unataka kusikiliza maelezo haya tena bonyeza ...., badala ya kum- refer mteja kwa "mhudumu wetu" ujinga mtupu!

Hivi nyie Vodacom mnadhani mnajua kila tatizo alilonalo mteja wenu?! Hivyo changamoto mlizorekodi ndizo mnajua ndizo changamoto pekee za mteja!
Mnadanganywa na Wataalam vi.laza!

Kwenye international platforms tunakofanya " instant payments" option ya mobile banking kupitia mitandao ya simu za hapa Nchini, Vodacom mmekuwa useless kabisa!!

Nilcho jifunza huduma kwa wateja ya vodacom wabaguzi mim na lain mbili zote za vodacom moja natumia kwenye calls data na sms(Heavy user) na nyingne natumia kwenye whatsapp namba ya vodacom nayo tumia kwenye whatsapp mara nying hua ipo kwenye sim ndogo situmii sana hiyo namba hata nipige 100 hua sipewi option ya kuongea na huduma kwa wateja ila namba yangu nyingne ambayo naitumia kote(heavy user) kasoro whatsapp nikipiga 100 sipewi hata maelezo anapokea huduma kwa mteja moja kwa moja

nilcho jifunza vodacom inatoa kipaumbele kwa mteja anae weka sana vocha na mwenyewe matumiz makubwa ya mtandao wao mfano kwa siku nlkua naweka vocha 6k -9k na hii lain nikipiga huduma kwa wateja(100) yan inaita straight anapokea sipewi hata matangazo itauliza unataka kiswahili au kingereza ukichagua tu anapokea hapo hapo huduma kwa wateja

ukiwa mteja wa kawaida unaweka vocha kwa manat ukipiga 100 hupat option ya huduma kwa mteja huu ni ubaguz
 
Kwa muda mrefu Vodacom wamekuwa ndio mtandao wangu namba moja na pendwa.

Katika siku za karibuni Vodacom wanakuwa kutoka ukubwa wa Simba na kurudi kuwa Paka na wakiendelea hivi watakuwa Panya kabisa!

Sikiliza maelezo yao kwa mteja unapopiga namba 100 ni ya kipuuzi sana na hakuna option tena ya kuongea na Mhudumu wetu!

Eti ubunifu wao ni kumwambia mteja mwishoni mwa maelezo yao walio rekodi ya kipuuzi eti kama unataka kusikiliza maelezo haya tena bonyeza ...., badala ya kum- refer mteja kwa "mhudumu wetu" ujinga mtupu!

Hivi nyie Vodacom mnadhani mnajua kila tatizo alilonalo mteja wenu?! Hivyo changamoto mlizorekodi ndizo mnajua ndizo changamoto pekee za mteja!
Mnadanganywa na Wataalam vi.laza!

Kwenye international platforms tunakofanya " instant payments" option ya mobile banking kupitia mitandao ya simu za hapa Nchini, Vodacom mmekuwa useless kabisa!!
Mbwa hao tena mashoga kabisa ,hata siku hizi hakuna huduma za wateja kwa Vodacom, wapuuzi sana

USSR
 
Kuongea na mteja wanaona ni kero ndio maana wameficha ficha mpaka kuongea nao ubonyeze Sana
Nisaidieni nimenunua bando la elfu mbili, sasa inagoma sipati MB, na Wala sidaiwi mkopo, na hawanipi bando na salio linabaki vile vile
 
Back
Top Bottom