Hivi vyeo vyote vya nini kutishana tu

Hivi vyeo vyote vya nini kutishana tu

deblabant

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2022
Posts
2,650
Reaction score
4,065
Ukiingia Kanisa Katoliki unaweza kudhani we ni fala wa hali ya juu na mungi hakutambui kabisa kwa vyeo hivi walivyojipachika hawa watu.

1. His lordship, Askofu mkuu

2. His grace, Askofu

3. His eminence, Kadinali

4. His holiness, Papa

5. The most honorable, Padre

Upuuuzi mtupu
 
Your Holiness.... Pope
Your Eminence ..... Cardinal
Your Grace..... Archbishop
Your Lordship.... Bishop
Honorable ...... Priest

Unatakiwa ujifunze kupangilia mambo. Hiyo ni Itifaki ( Hirachy ya Kanisa Katoliki) Itifaki ipo sehemu yoyote hata serikalini wana itifaki kwa hiyo sio kutishana.
 
Ukiingia kanisa katolimi unaweza kudhani we ni fala wa hali ya juu na mungi hakutambui kabisa kwa vyeo hivi walivyojipachika hawa watu.

1. His lordship...... Askofu mkuu

2. His grace.......... Askofu

3. His eminence..........kadinali

4. His holiness................papa

5. The most honorable.......Padre




Upuuuzi mtupu
Ulaji huo, kila mbuzi kwa urefu wa kamba yake.
 
Ukiingia Kanisa Katoliki unaweza kudhani we ni fala wa hali ya juu na mungi hakutambui kabisa kwa vyeo hivi walivyojipachika hawa watu.

1. His lordship, Askofu mkuu

2. His grace, Askofu

3. His eminence, Kadinali

4. His holiness, Papa

5. The most honorable, Padre

Upuuuzi mtupu
Acha Wivu
 
Ukiingia Kanisa Katoliki unaweza kudhani we ni fala wa hali ya juu na mungi hakutambui kabisa kwa vyeo hivi walivyojipachika hawa watu.

1. His lordship, Askofu mkuu

2. His grace, Askofu

3. His eminence, Kadinali

4. His holiness, Papa

5. The most honorable, Padre

Upuuuzi mtupu
Kumbe mungi? Nilifikiri MUNGU..sawa kojoa ulale
 
Back
Top Bottom