only83
Usikiri siasa na kuandaa maandamano, kupiga kampeni na kumjadili Dr. Slaa na Kikwete. Siasa ni zaidi ya hapo. Elimu, Uchumi na vitengo vingi vinavyogusa maisha ya kila siku haviwezi kutenganishwa na siasa. Kwa hiyo elimu ni msingi mkuu katika maisha; na kuboronga au kuboreka kwake ni lazima kuhusishwe na siasa za nchi husika. Hope umenipata.