Hivi, wabunge walikuwa wanamshambulia Mbowe na kuwatishia waliotoa hoja au walikuwa wanawaelemisha watanzania faida ya hiyo IGA na Dubai?

Hivi, wabunge walikuwa wanamshambulia Mbowe na kuwatishia waliotoa hoja au walikuwa wanawaelemisha watanzania faida ya hiyo IGA na Dubai?

UNDENIABLE

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2013
Posts
2,326
Reaction score
1,314
Kwa maoni yangu.

Ni kama vipi lile bunge lilikuwa linampa Mbowe promo za kisiasa badala ya kuwaelimisha watanzania uzuri wa yale makubaliano.

Ni kama vile wabunge walikuwa wanawapiga biti kali kali watanzania waliokuwa wanatoa hoja zao kuhusu makubaliano.

Ni kama vile wao ndio watanzania halisi na wengine wa mitandaoni ni watanzania koko.

Ni kama vile Rais Samia ni wa kwao sio wa watanzania wengine.

Ila Samia ana nia nzuri sana na hili Taifa basi tu watendaji wake wanamuangusha sana

Sijui wengine mlionaje.
 
Mzee Mbowe ana hisia za kikabila mnooo hadi issue za kitaifa anashindwa kujizuia aisee .SHAME
 
Kwa maoni yangu.

Ni kama vipi lile bunge lilikuwa linampa Mbowe promo za kisiasa badala ya kuwaelimisha watanzania uzuri wa yale makubaliano..
Hawana jipya walikuwa wanajihami kijinga bila kujua Tanzania ya leo siyo Tanganyika ile ya kiarabu
 
Back
Top Bottom