denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Salaam.
Serikali yetu imetualika wote tuisaidie michango dhidi ya huu ugonjwa, baadhi wameshajitolea kuonesha mfano akiwemo Ndugu Rostam Aziz alietoa vifaa kukabiliana na huu ugonjwa, na kiasi kilichopatikana kinakaribia kufika Tsh. bil 6.
Waswahili husema kutoa ni moyo na sio utajiri, najiuliza hawa wachezaji wetu wanaocheza nje ya nchi bado mpaka leo hawajashtuka nao wachangie chochote?
Maana nawaona wako "busy" tu kutuonesha walivyojifungia ndani kuogopa kupata maambukizi, au hawana watu proffesional wakuwashauri kuhusu nini wafanye na kipi wasifanye, japo kwa hili sidhani kama panahitajika mtu akumbushwe maana sote tunaona Corona inavyotukimbiza kwasasa ulimwenguni.
Sasa inakuwaje hawa jamaa zetu nje ya nchi wamepasahau nyumbani!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali yetu imetualika wote tuisaidie michango dhidi ya huu ugonjwa, baadhi wameshajitolea kuonesha mfano akiwemo Ndugu Rostam Aziz alietoa vifaa kukabiliana na huu ugonjwa, na kiasi kilichopatikana kinakaribia kufika Tsh. bil 6.
Waswahili husema kutoa ni moyo na sio utajiri, najiuliza hawa wachezaji wetu wanaocheza nje ya nchi bado mpaka leo hawajashtuka nao wachangie chochote?
Maana nawaona wako "busy" tu kutuonesha walivyojifungia ndani kuogopa kupata maambukizi, au hawana watu proffesional wakuwashauri kuhusu nini wafanye na kipi wasifanye, japo kwa hili sidhani kama panahitajika mtu akumbushwe maana sote tunaona Corona inavyotukimbiza kwasasa ulimwenguni.
Sasa inakuwaje hawa jamaa zetu nje ya nchi wamepasahau nyumbani!.
Sent using Jamii Forums mobile app