Hivi wafungwa kufanyishwa kazi ya kufyatua matofali sio forced labour?

Hivi wafungwa kufanyishwa kazi ya kufyatua matofali sio forced labour?

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Najua duniani kwa sababu fulani fulani za kimaadili huwa hawanunui bidhaa zilizotengenezwa kwa forced labour.

Nimepita Shinyanga nimekuta wana wanagonga tofali kama vibarua. Je, hela zinazopatikana hapo zinaenda wapi? Kwa hiyo jeshi la magereza limeona kukata magogo haitoshi wameona wahamie kwenye matofali.

Magereza iwe sehemu ya mafunzo lakini sio kugongesha watu tofali asubuhi mpaka jioni.

Nalaani sana.
 
Hiyo ni inaweza kuwa sehemu ya kifungo chake, kuna wahalifu wengine wanahukumiwa vifungo na kazi ngumi
 
Najua duniani kwa sababu fulani fulani za kimaadili huwa hawanunui bidhaa zilizotengenezwa kwa forced labour.

Nimepita Shinyanga nimekuta wana wanagonga tofali kama vibarua. Je, hela zinazopatikana hapo zinaenda wapi? Kwa hiyo jeshi la magereza limeona kukata magogo haitoshi wameona wahamie kwenye matofali.

Magereza iwe sehemu ya mafunzo lakini sio kugongesha watu tofali asubuhi mpaka jioni.

Nalaani sana.
Sio matofali tu hata kuzoa taka ....
 
Najua duniani kwa sababu fulani fulani za kimaadili huwa hawanunui bidhaa zilizotengenezwa kwa forced labour.

Nimepita Shinyanga nimekuta wana wanagonga tofali kama vibarua. Je, hela zinazopatikana hapo zinaenda wapi? Kwa hiyo jeshi la magereza limeona kukata magogo haitoshi wameona wahamie kwenye matofali.

Magereza iwe sehemu ya mafunzo lakini sio kugongesha watu tofali asubuhi mpaka jioni.

Nalaani sana.
Ulitaka wale na kusaazaa bure kwa kodi za wananchi? Kama ni hivyo basi Tutegemee watu wanaoona huku pagumu waende jela kula chakula cha bure
 
Ikiwa Mfungwa atafanya kazi Kwa kuzingatia utu wake itakuwa jambo zuri Sana Ila ukimfanya kazi ngumu zitakazouchosha mwili na kuua akili yake hiyo utakuwa unakosea Sana.


Watu wengi wliopo gerezani ni watu wasiojitambua hivyo hata makosa yao mengi hutokana na emotions driven na sio mentally driven.


Hivyo Utu wa MTU na marekebisho ya akili ndo vitu vya muhimu kupewa mfungwa.
 
Wafanye kazi kama kawaida 8 hours, kama binadamu yoyote.

Muhimu haki zao zizingatiwe kama breaks, afya zao, chakula, ujira,malipo hata kama ni madogo kidogo.
 
Back
Top Bottom