Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Vyama vya siasa vinatumia utaratibu gani kupata wagombea Zamzibar? Je, Ni kupitia kamati kuu za vyama au mabaraza au wana utaratibu wao huko Zanzibar?
Je, utaratibu wa wagombea wa Baraza la Wawakilishi na ugombea wa Ubunge wa Muungano upo sawa?
Kama yanatoka huku bara, uwakilishi katika kuyatolea maamuzi upo vipi? Ni fifty fifty au huku bara tunakura ya veto?
Je, utaratibu wa wagombea wa Baraza la Wawakilishi na ugombea wa Ubunge wa Muungano upo sawa?
Kama yanatoka huku bara, uwakilishi katika kuyatolea maamuzi upo vipi? Ni fifty fifty au huku bara tunakura ya veto?