Hivi Wakenya mbona wana machungu sana mioyoni mwao, nini kinachemka ndani ya Kenya?

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617

Huyu jamaa ukimuangalia usoni, anaonyesha wazi kwamba amejawa na hasira sana kiasi cha kumtusi rais hadharani, pia inaonekana ni mtu katili sana yupo tayari kufanya lolote atakaloamrishwa na Rutto.

Chuki dhidi ya Raila na wajaluo inazidi kukomaa.

Mungu saidia Kenya.
 
Tuna furaha leo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
hahaha 10 NIL
 
Lkn kumtumia Ruto kama ile karatasi laini ya msalani au maliwato si haki. Hilo halikubaliki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…