joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Mara kwa Mara tumesema kwamba Kenya haijui ni kitu gani wanachokitaka katika mapambano dhidi ya maambukizi ya Corona, badala yake viongozi wao wanaiga kila kitu bila kutumia akili.
Hivi kuna faida gani ya kuzuia watu kwenda na kutoka katika majimbo yenye maambukizi mengi ya Corona, na kuzuia watu kutotoka nje wakati wa usiku lakini wakati wa mchana upuuzi usiokuwa wa lazima kama huu wa kuvunjiana nyumba unaendelea kama kawaida? Hivi walishindwa kuahirisha hili zoezi hadi baada ya hili tatizo kuisha? Failed state.
Sent using Jamii Forums mobile app