Hivi wako wapi George Kabaka?

Nkungulume

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2015
Posts
2,987
Reaction score
1,209
Kenya ilikuwa na muziki wa kupendeza miaka ya 60 mpaka 70 laikini sasa na wote wamepotea aidha wamekufa au wamezeeka.
Na kwa bahati mbaya hakuna tena kwa hiki kizazi cha sasa ambao wanapiga nyimbo kama Lunch time na nyingine nyingi kwa kweli zilikuwa zimbeba nembo ya Kenya.

Yaani ukipigwa unajua ni wimbo kutoka Kenya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…