Hivi wakurya na misimamo yao watakubali kumpa kura Mwita Waitara asiye na msimamo?

Hivi wakurya na misimamo yao watakubali kumpa kura Mwita Waitara asiye na msimamo?

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Katika makabila ambayo yanataka mwanaume awe na msimamo basi ni wakurya, wakurya wanataka hata mwanamke awe na msimamo imara.

Sasa wakurya wanaenda kukutana na kijana ambaye ameyumba kimsimamo kuliko maelezo

Aligombea jimbo la Tarime kupitia CCM akashindwa katika kura za maoni, akahama kaenda Chadema, kagombea ukonga, kashinda, kasaliti wapigakura, kaenda CCM, wakampa agombee Ukonga kinamna,akashinda, kasaliti ukonga, (inasemekana kashindwa kuleta maendeleo ukonga, hivyo amekimbia adhabu ya wapiga kura kwa kushindwa kuleta maendeleo na kuwasaliti)

Sasa amesaliti Ukonga anaenda Tarime

Hivi wana Tarime huyu ndiye mnataka kumkabidhi mji wenu? ametangatanga kila kona na kila mahali,na anaondoka kwa usaliti.

Wakurya ni watu wa misimamo imara, mtampa kura huyu aliyetangatanga na kusaliti kila alikotoka?

Huu ni mtihani kwa wakurya, watuthibitishie kwamba bado ni wakurya au wanaigeuza Tarime kuwa sehemu ya vijana wasio na msimamo

Huyu ndugu ni Waziri, lakini jimbo lake limemshinda kulipa maendeleo,Tarime ataweza?
 
Tatizo kule wanaangalia zaidi umetoka koo gani na inakubalika vipi wenyewe wanaita MLANGO hivyo usishangae wakimkubali maana kabila hilo makundi rika ya kijamii (seiga) yakimkubali mtu basi wengine wanafuata
 
La
Katika makabila ambayo yanataka mwanaume awe na msimamo basi ni wakurya, wakurya wanataka hata mwanamke awe na msimamo imara.

Sasa wakurya wanaenda kukutana na kijana ambaye ameyumba kimsimamo kuliko maelezo

Aligombea jimbo la Tarime kupitia CCM akashindwa katika kura za maoni, akahama kaenda Chadema, kagombea ukonga, kashinda, kasaliti wapigakura, kaenda CCM, wakampa agombee Ukonga kinamna,akashinda, kasaliti ukonga, (inasemekana kashindwa kuleta maendeleo ukonga, hivyo amekimbia adhabu ya wapiga kura kwa kushindwa kuleta maendeleo na kuwasaliti)

Sasa amesaliti Ukonga anaenda Tarime

Hivi wana Tarime huyu ndiye mnataka kumkabidhi mji wenu? ametangatanga kila kona na kila mahali,na anaondoka kwa usaliti.

Wakurya ni watu wa misimamo imara, mtampa kura huyu aliyetangatanga na kusaliti kila alikotoka?

Huu ni mtihani kwa wakurya, watuthibitishie kwamba bado ni wakurya au wanaigeuza Tarime kuwa sehemu ya vijana wasio na msimamo

Huyu ndugu ni Waziri, lakini jimbo lake limemshinda kulipa maendeleo,Tarime ataweza?
Labda viti maalumu apewe
 
Kitunda, mwanagati, msongora, banana etc wakurya wamejazana walimpigia kura au wale wa musoma na sehemu tajwa hapo ni wakurya tofauti?
 
Kitunda, mwanagati, msongora, banana etc wakurya wamejazana walimpigia kura au wale wa musoma na sehemu tajwa hapo ni wakurya tofauti?
Hao wauza mayai,wa Tarime hawauzi mayai
 
Back
Top Bottom