Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Mungu fundi sana I salute you ma God. Yaani ukianua mtu awe na bday Mwaka huu anapata aliamua mwakan hupati hupati.
Naulizia tu jamani Feb imeisha Jana vipi wale ndugu zetu wa Feb 29 waliozaliwa wanasherehekea leo kimkakati ama wamepotezea.
Maana na jamaa Yangu kanikaribisha Leo kwenye bday nkashangaa keki umesoma tar 29 feb. Nikarudi kwenye simu kuangalia nimekosea ama Leo tar 1 March.
Nkaishia kunywa kilichonleta nkaondoka...poleni sana wana February yote mnayopitia ni mapito yataisha tu.
Naulizia tu jamani Feb imeisha Jana vipi wale ndugu zetu wa Feb 29 waliozaliwa wanasherehekea leo kimkakati ama wamepotezea.
Maana na jamaa Yangu kanikaribisha Leo kwenye bday nkashangaa keki umesoma tar 29 feb. Nikarudi kwenye simu kuangalia nimekosea ama Leo tar 1 March.
Nkaishia kunywa kilichonleta nkaondoka...poleni sana wana February yote mnayopitia ni mapito yataisha tu.