Hivi wale wachambuzi walio aminisha uma kuwa Feitoto to Azam deal done [emoji736] ,, habari walipewa na nani? Au ndo tuna wachumia tumbo?

Dish

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2019
Posts
624
Reaction score
922
Km mnakumbuka wakati tetesi za Feitoto kuondoka Yanga zinaibuka hakikupita kipindi kirefu baadhi ya wachambuzi wengi waliripoti feisal to Azam deal done [emoji736]

lkn mpk sasa bado hajatambulishwa Azam ndio kusema tusubiri dirisha kubwa la usajili? ama ndo ule msemo wa wachambuzi wengi wa bongo ni makanjanja wachumia tumbo.
 
Ni kweli Mtoto wa Tajiri Yusufu Bakresa ndio yupo nyuma ya hili mpaka Sasa bado anashughulika na hili. Yeye ndie anaye mharibia Feisal Kwa kumwaminisha ata shinda katika mgogoro huu na anasajiliwa na Azam.
Mkataba Alisha Saini na malipo ya awali yalisha fanyika, na fedha za kuwarudishia Yanga alizitoa yeye, Dubai kwenye Kambi ya mazoezi alimpeleka yeye.
Maneno ya mama yake Feisal ya ugali na sukari aliyaratibu yeye Ili kutoa shinikizo Kwa Tff wabadili mwelekeo.
Inaonekana mpango wao ulikua Tff ita amua Feisal amevunja mkataba apigwe faini na kufungiwa miezi 4.Baadae walipe Faini na asajiliwe Azam.
Bahati Mbaya Tff safari hii wameamua kulinda mpira wa nchi. Maana kama wangefanya hivyo kama plani ya Kambi ya Feisal ilivyo panga, Wangefungua njia mpya ya wachezaji Kuvunja Mikataba bila kuhusisha klabu.
Yaani klabu zisinge kuwa na uhakika na umiliki wachezaji wao na Mikataba Yao na wachezaji isingekua na maana.
 
Huyu si mwingine bali ni Jemedari Said Kazumari mbwiga wa mbwiga.
 
Ni Tanzania pekee mchambuzi anaheshimika kuliko kocha wa mpira wa timu husika

Mchambuzi anapanga kikosi na washabiki wanmshinikiza kocha apange kikosi hicho

Hivi wapi kuna shule ya wachambuzi Tanzania
 
Acha kutete upuuzi feisal sio wa kulipwa million 4 kwa mwezi hadi kufika hapo amevumilia sana.
 
Wewe unalipwa bei gani kaxini kwako? Mbona unapiga miayo kila siku hapo na umeshindwa kuhama kwenda kwenye mshahara mkubwa, Wewe mbona umevumilia kulipwa iyo laki 3? Acha ujinga!
Ona hili jinga jingine mpira ni tofauti na kazi nyingine zote duniani ni kazi ya mda mfupi ambayo inaendana na umri mchezaji miaka 30 watu wanamuita mzee wakati umri huo mtu ndio anaajiriwa na anaanza safari ya kutafuta miaka 60 ya kustaafu hilo hujafikiria kichwani umejaza kamasi tu akili umeacha nyumbani kenge wa kijani kutoka jangwani bado wenye akili ni wawili tu.
 
Huenda mkataba alisaini akiwa kalewa.
Kama feisal kweli anataka kuondoka yanga kwasababu ya hela basi angeondoka kipindi kile yanga omba omba ila utopolo hawaelewi hilo wao wanawaza hela tu kipindi kile simba wanamuwinda ila alibaki yanga sasa hivi wanamuona mjinga.
 
Ni bora kujaza kamasi kuliko kujaza mavi kichwani uliyojaza wewe, unadhani Taasisi ni sawa na choo unaingia na kutoka kiholela, Mapunguani mmejazana sana uko ukoloni mnapuyanga tu kama mijusi iliyobanwa na mlango, Basi mchukueni nyie mkamlipe hizo haki zake mnazodai apewe si yuko huru mnashindwa nini kumchukua? Ujuaji mwingi kumbe ni zero brain!
 
Nguvu hivi angewekeza kwa kuwapa motisha akina Dube na akina Kipre Azam wangekuwa mbali. Mwacha agombanie nafasi ya 4 na Singida.
 
Basi haya maslahi yapiganiwe kwa wachezaji wote Tanzania na sio Feisal peke yake au hujui kua kuna watu wanalipwa laki 5-9 hapo mtibwa,Polisi Tanzania,Tanzania prison,kagera sugar .
 
Hahaaa kumbe ndo maana shangazi anasema ilitakiwa tff imuadhibu feitoto

Hivi ni kwanin huyo boss mtoto hataki kufuata utaratibu wamchukue kihalali?
 
Basi haya maslahi yapiganiwe kwa wachezaji wote Tanzania na sio Feisal peke yake au hujui kua kuna watu wanalipwa laki 5-9 hapo mtibwa,Polisi Tanzania,Tanzania prison,kagera sugar .
Ongezea na Kibu D "kibu denga", Israel Mwenda, Nassoro Kapama, na Gadiel wanaolipwa 320,000 pale kwa Mfalme Zumaridi "MO"
 
Pia wapo waliotuaminisha kuwa Fei yupo kambini kimbiji na atacheza game ya TP mazembe[emoji23][emoji23][emoji23]tuwaite wacumia mgongo

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Basi haya maslahi yapiganiwe kwa wachezaji wote Tanzania na sio Feisal peke yake au hujui kua kuna watu wanalipwa laki 5-9 hapo mtibwa,Polisi Tanzania,Tanzania prison,kagera sugar .

Hata pale kwa [emoji881] wapo wanaolipwa 2M na uwanjani wana ubonda saana kuliko Nelson Okwa aliyepo kwa mkopo Ihefu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…