Hivi wale wanaharusi wa pale ukumbini huwa wanaishia wapi?

Hivi wale wanaharusi wa pale ukumbini huwa wanaishia wapi?

Braza Kede

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2012
Posts
3,840
Reaction score
6,844
Ule usiku wa shughuli pale ukumbini huwa tunaona mwaliharusi mrembo hadi unajiulizaaswqli mengi

Huyu mlimbwende katoka wapi huyu?

Wajameni mbona binti mrembo hivi?

Huyu katoka uhabeshi?

Huyu matokea rwanda?

au kateremka na malaika kutoka huko mawinguni?

Yani maswali yanakuwa mengi kuliko majibu

Wakuu hivi wale waliharusi huwa wanaenda wapi wakuu? wanaishia wapi?

au wanarudi huko mawinguni walikotokea au?

au wanayeyuka tu ghafla na kupotea mazima?

Maana napata shida kuwaona huku kitaa.
 
unaizungumzia Yanga iliyotaka kucheza na malaika klabu bingwa?

iko wapi Sasa Yanga ile jamani?

Gusa achia turudi ligi kuu tutafunwe na nyuki wa Tabora?

Ila urembo na sifa vikizidi haupigi hatua, si mmeiona Yanga?
 
Hahahaaaaaa si mchezo.
Mtu kabandikwa makeup mpaka sura yake inapotea anakuwa na sura mpya. Hivo vigodoro sasa , shape kama lote yaani. Akitoa makeup na kigodoro unaanzaje kumjua?😂😂😂😂
uchawi wa yote ni maji...omba mvua iwanyeshee bi harusi..
 
unaizungumzia Yanga iliyotaka kucheza na malaika klabu bingwa?

iko wapi Sasa Yanga ile jamani?

Gusa achia turudi ligi kuu tutafunwe na nyuki wa Tabora?

Ila urembo na sifa vikizidi haupigi hatua, si mmeiona Yanga?
Wewe ni fala na bahati nzuri mwenyewe hilo unalijua!!
 
Hahahaaaaaa si mchezo.
Mtu kabandikwa makeup mpaka sura yake inapotea anakuwa na sura mpya. Hivo vigodoro sasa , shape kama lote yaani. Akitoa makeup na kigodoro unaanzaje kumjua?😂😂😂😂
Na vigodoro pia?
 
Huna tofauti na yule bwana harusi zwazwa baada ya sherehe anaingia chumbani anamkuta bibi harusi kakaa kitandani. lile bwana harusi zwazwa likasema "Nilijua tu kwenye hii sherehe watu walivyokuwa wengi hivi lazima kuna mtu wangemsahau tu!"
 
Screenshot_20250119-134543_Chrome.jpg
 
Hahahaaaaaa si mchezo.
Mtu kabandikwa makeup mpaka sura yake inapotea anakuwa na sura mpya. Hivo vigodoro sasa , shape kama lote yaani. Akitoa makeup na kigodoro unaanzaje kumjua?😂😂😂😂
mkuu Hannah umeamua kutoa password za kambi. liwalo naliwe. hautaki unafiki😄😄
 
Back
Top Bottom