Hivi wale wauza Bagia mbeya wapo mikoa mingine?

Hivi wale wauza Bagia mbeya wapo mikoa mingine?

Utasikia wale wateja bagia, wale wateja bagia zimenona tatu shilingi mitano karibu, karibu wateja wangu.

Wapo uko mikoani?
Ahahaaa mfumo huu umezifikia wilaya zake,mwendo wa vitoroli sauti rekodiwa mpaka mtiririko wa maneno ni wenye mfanano,mikoa mitatu niliyotembelea Njombe,Iringa,na Dodoma sijakutana na hii kitu
 
Sea ule ubunifu wa vile vitololi[emoji119][emoji91][emoji91]..First time naona nikajua ni mtu mmoja kumbe wapo wengi
 
Back
Top Bottom