Hivi walimu wa aina hii bado wapo hapa Tanzania?

Kanungila Karim

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2016
Posts
20,743
Reaction score
25,564


Walimu kama hawa ndiyo maana kwenye mahafali ya darasa la saba hawaibuki. Hawa ndiyo waliozifanya shule nyingi zianze na sherehe kabla ya kukabidhiwa vyeti.

Vinginevyo, ni vitasa kwenda mbele. Mtu unaanza la kwanza mpaka form six, umechapwa bakora za makalio zaidi ya mia tano. Makalio yanakuwa magumuuuu, hadi mwiba unadunda.

TIcha wa hivi washasakwa sana na manati kitaa, ila nao wanakuwa na machale sana, unaweza kumsaka mwaka mzima umuoni, siku ukimuona, hasira zimekwisha, amekuwa rafiki yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…