Hivi walimu wapya wamelipwa stahiki zao?

Hivi walimu wapya wamelipwa stahiki zao?

Komando tamimy

Senior Member
Joined
Nov 18, 2020
Posts
108
Reaction score
121
Waalimu walioripoti tangu mwezi wa 12 tarehe 1. Hawajapatiwa stahiki zao. Mpaka sasa je kuna halmashauri wamepatiwa hela zao za kujikimu pamoja na mshahara wa mwezi huu? Na kama hawajalipa mshahara wa mwezi huu waalimu watau ingiza katka madai yao?

Tuchangie kiistaarabu najua wengi wana hasira na waalimu lakini ikumbukwe hawa hakuwa kwenye mfumo kwa hiyo tuendelee kuwaombea wapate stahihiki zao
 
Yanakuhusu? Angalia familia yako Leo umewapa nini? Na je wameridhika ya mgoswe mwachie ngoswe la ukiona unahusika acha kazi
 
Serikali Imewalipa Wote!!!!
Serikali Ninayoiongoza Haitakuwa Na Michakato
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
 
Yanakuhusu? Angalia familia yako Leo umewapa nini? Na je wameridhika ya mgoswe mwachie ngoswe la ukiona unahusika acha kazi
Na yeye anautegemea huo mshahara kwa familia yake

"corona ipo tuchukue tahadhari"
 
Back
Top Bottom