Hivi Walinzi wa kukaa Getini nao ni Expert?

Hivi Walinzi wa kukaa Getini nao ni Expert?

SOVIET UNION

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2017
Posts
509
Reaction score
1,391
Kwa uelewa wangu mdogo huwa najua kwamba watu wanao takiwa kupewa vibali ya kazi na uhamiaji ni wale Expert tena na wao ni kwa muda fulani, lakini nashindwa kuelewa pale napo kutana na walinzi wa getini kwamba nao ni Expert na wametolewa Asia huko. Wafanya kazi za ndani wapo walio letwa kutoka Asia pia.

Hawa uhamiaji nazani ndiko wanako tajirikia huko, make hiingii akilini kuleta walinzi kutoka Nepel waje kukaa getini.

How come uhamiaji wanatoa vibari vya kazi kwa kazi kama vile;
  • Walinzi
  • Wafanya usafi
  • Wapishi
Hawa jamaa wa Asia wana leta hadi walinzi kutoka huko Asia, wanaleta wafanya usafi hii nimekutana nayo live leo Arusha.

Kama haitoshi wanaleta pia wapishi, kinacho shangaza hao Walinzi si kwamba ni Expert bali ni walinzi wa kuja kukaa mlangoni na fimbo.

Je, tuna uhaba unskilled man power kiasi cha kuleta walinzi kutoka nje?

Ukijalibu kufuatilia unakuta ni pesa zilitembea na watu wakapewa permit za kuingia na kufanya hizo kazi.

Haya mambo huwezi sikia CCM hasa wale UVCCM wakiyakemea, wako bise kusifia na kuabudu tu. Miji kama Arusha imejaa foreigner ambao ukiangalia sio Expert bali ni wanakuja kufanya kazi ambazo zinapaswa au wazawa wana uwezo wa kuzifanya.
 
Kwa uelewa wangu mdogo huwa najua kwamba watu wanao takiwa kupewa vibali ya kazi na uhamiaji ni wale Expert tena na wao ni kwa muda fulani, lakini nashindwa kuelewa pale napo kutana na walinzi wa getini kwamba nao ni Expert na wametolewa Asia huko.Wafanya kazi za ndani wapo walio letwa kutoka Asia pia.

Hawa uhamiaji nazani ndiko wanako tajirikia huko, make hiingii akilini kuleta walinzi kutoka Nepel waje kukaa getini.

How come uhamiaji wanatoa vibari vya kazi kwa kazi kama vile;
  • Walinzi
  • Wafanya usafi
  • Wapishi

Hawa jamaa wa Asia wana leta hadi walinzi kutoka huko Asia, wanaleta wafanya usafi hii nimekutana nayo live leo Arusha.

Kama haitoshi wanaleta pia wapishi, kinacho shangaza hao Walinzi si kwamba ni Expert bali ni walinzi wa kuja kukaa mlangoni na fimbo.

Je tuna uhaba unskilled man power kiasi cha kuleta walinzi kutoka nje?

Ukijalibu kufuatilia unakuta ni pesa zilitembea na watu wakapewa permit za kuingia na kufanya hizo kazi.

Haya mambo huwezi sikia CCM hasa wale UVCCM wakiyakemea, wako bise kusifia na kuabudu tu.Miji kama Arusha imejaa foreigner ambao ukiangalia sio Expert bali ni wanakuja kufanya kazi ambazo zinapaswa au wazawa wana uwezo wa kuzifanya.
Kapicha kidogo ili tumuone huyo gabacholi mlinzi
 
Back
Top Bottom