Hivi waliomaliza darasa la saba na kupata wasitani wa d hawachaguliwi kujiunga na kidato cha kwanza?

KILLERS KISS GUY

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2013
Posts
718
Reaction score
258
wadau naomba kuuliza kuna mdogo wangu kamaliza darasa la saba alipata wasitani wa alama D lakini hakuchaguliwa kujiunga na kidato kwanza wakati nafasi zipo za kutosha? au kuna second selection
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…