cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 498
Then uone nini vkeisy2006? babaChupi au boxer? ila nasikia waheshimiwa hawavai nanihiii sababu ya miili na joto hi hi hi hi hi hi hiHAHAHAHA....natamani hyo suruali ingechanika kidogo
hivi kuna anayewalazimisha hawa waheshimiwa kufanya hizi shughuli?
maana mi najua wanapofanya hivi wanafanya kuonyesha mfano na kuhamasisha lkn ni nani anayefanya kazi za shambani na kimkeka ili asichafuke!
ukimtizama anavyohema .....na hilo pozi na hicho kimkeka aah tuachieni watoto wa wakulima hizi shughuli hamziwezi nyie msitutanie!
promo lenyewe limekaa vibaya!Hapendwi mtu, zinapedwa Kura za wananchi.
Biashara promo.
Anahalalisha POSHO na perdiem yake jioni, otherwise ni ushenzi uliozidi kukejeli wananchi!