yanafurahishayanahuzunisha
Eti wapenzi wenu huwa wanaweka nini...Nimeshawahi kukutana na couple moja eti mwanaume kabeba kimkoba na mwanamke kabeba pia....!! U Gentlemen unaanza kupotea sasa hapa nani atambebea mwenzie mkoba...!!
Kweli yajayo yanashangaza.View attachment 774805View attachment 774807View attachment 774813
A$ap Rocky huyo mkuuNilipoangalia mwanzo nilidhani ni ke kutokana na mwonekano wake
Hivyo vitu huwezi kubeba kwenye begi la kawaida mpaka uweke kwenye mkoba!!?Watu mnakua wajinga wajinga na washamba. Haya mimi binafsi nikibeba begi aina hiyo nakua na power bank, nakua na antibacterial wipes, vitambaa ziada sababu na sweat profusely, nakua na kitabu (hii ni lazima) cha kusoma napokua ndani ya daladala. Badala ya kuchat au kukaa idle napokua ndani ya daladala nakua nasoma. Au natoa simu nasoma soft copy ya kitabu.
Kwa hiyo wewe na manufacturers nani ni mjinga? Ile ni compatible kuliko begi kubwa. Umeshawahi kupata exposure na kuona wageni wakiwa na design ile ya mikebe? Kuna ya kiume na ya kike hilo la kwanza. Pili, yale yametengenezwa kwa kubea vitu light na ni compatible ktk kubeba. Unabebaje mbegi mkubwa na una tuvitu tuchache twakubeba? Msiwe na akili za kitoto. Grow up!Hivyo vitu huwezi kubeba kwenye begi la kawaida mpaka uweke kwenye mkoba!!?