huyo mwanamke hakumjua huyo mwanaume mapema? Mwanaume akikushawishi uache chuo au kazi ujue hafai, kimbia.....
akome ujinga wake mwenyewe!
hivi ninyi wanawake wengine mna akili au matope kichwani, maana ningesema mna colgate ingekuwa afadhali. wewe wazazi wamehangaika na wewe mpaka ukafika chuo, halafu linakuja li mwanaume na kukushawishi uache likuoe, na wewe unakubali, halafu yakitokea hayo unalalamika!! shame on you, big shame.
Mi ni mwanaume, lakini ningekuwa na mwanamke wa type hiyo hata sitaki kufikiria ningekufanya nini maana badala ya kutumia akili kufikiria we unatumia kidudu chako, in the name of love,,, haaaaaa! na siajabu aliolewa bila hata kuhusisha wazazi,
akome kabisa
inakuwaje mwanaume huwapendi watoto wako wa damu yako mke waweza mchukia lakini hadi watoto nimesikiliza hekaheka huyo baba alivyokua ana pesa lakini anamuachia mke wake sh 2000 ,wakati mwingine haachi hela kabsa,watoto wamelala anapuliza dawa ya kunguni kweli huo ubinadamu ukizingatia amemuachisha mkewe chuo na kazi hataki afanye bado anamnyanyasa anampiga na kumdhalilisha mbele ya wanae jamani inauma sana
most of them
Akome kuach kaz na chuo!eti litokee lijanaume linaniambia niache kaz,ntachukua mtwangio wa kinu nimpige nao kchwan!
Dada wapo wengi wanaojali watoto wao ila usijibebeshe mimba bila sababu, maana wako wanawake wengine kabla hajaolewa anajibebesha mimba na akiwa ndani ya ndoa hashauriani na mumewe kwamba tuzae wangapi anaendelea tu kufyatua kama kuku tena wengine utasikia nikizaa wengi hawezi kuniacha. ndio mwisho mwanaume yanamshinda familia inakuwa kubwa sana inabidi akuachie tu 2000 atafanyaje na kipato hakiruhusu.
Na wanawake waache kujibweteka tufanye kazi tusaidiane maisha, huyo mdada ni mjinga na mvivu pia, hivi dunia ya leo kuna mwanaume anaweza kumkataza mkewe asifanye kazi kweli? huyo mwenyewe hataki kufanya kazi
mbona mnasemea huyo mama je watoto