soldier MAN
Member
- May 13, 2024
- 51
- 100
Wadau JF,
Nataka leo tuambizane ukweli kwanini sisi wanaume warefu dark tunawapagawisha sana watoto wa kike.
Kwa mfano mimi wanawake walikuwa wanapigana kwa ajili yangu toka O level, A level hadi chuo kisa tu wanapenda muonekano wangu.
Yaani kila demu ninayemtaka na mpata.
Nataka leo tuambizane ukweli kwanini sisi wanaume warefu dark tunawapagawisha sana watoto wa kike.
Kwa mfano mimi wanawake walikuwa wanapigana kwa ajili yangu toka O level, A level hadi chuo kisa tu wanapenda muonekano wangu.
Yaani kila demu ninayemtaka na mpata.