Hivi wanaume wenzangu mnaohonga nyumba na magari nyoyo zenu zipoje?

Hivi wanaume wenzangu mnaohonga nyumba na magari nyoyo zenu zipoje?

Dogoli kinyamkela

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2024
Posts
618
Reaction score
1,440
Hivi wanaume wenzangu mnaohonga nyumba Mpaka magari Nyoyo zenu zipoje? Maana mimi nimejaribu ELFU KUMI tu yaani hapa natetemeka mwili mzima jasho, halikauki yani nahisi kuzimia zimia😂😂

1737570357809.jpg
 
Wanaume dhaifu hawana sera hivyo hutegemea kuhonga ili wakubalike....wengi wao wanapatikana mkoa wa joto na harufu kali ya maji taka.
 
Hivi wanaume wenzangu mnaohonga nyumba Mpaka magari Nyoyo zenu zipoje? Maana mimi nimejaribu ELFU KUMI tu yaani hapa natetemeka mwili mzima jasho, halikauki yani nahisi kuzimia zimia😂😂

View attachment 3210458
Wewe unatetemeka kwa kumpa malaya 'mbongo movie' hiyo elfu 10 kwa sababu una akili timamu na unajitambua, wale wanaotoa mamilioni na kumpangia changu nyumba wanakuwa washalishwa mavi na mavuzi na hao machangu waitwao madada wa mjini au wabongo movie huku mitaani. Haiwezekani mwanamme mwenye akili timamu kumpangia ama hata kumnunulia changu nyumba pamojaj na gari wakati wazazi wake au hata mkewe hawana usafiri wa maana, haiingii kichwani. Machangu na wabongo movie wanaroga sana, hawafai hata kuwasalimia....waachwe tu watumiwe na CCM.
 
Back
Top Bottom