Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,303
Hii imetulia!...Kuwa mwanamke hakujawahi kunizuilia kufanya chochote kile nilichotaka kufanya na wala sijawahi kufanyiwa kitu nikahisi kudhalilika kwa sababu ni mwanamke...
You are crazy....!!hahahaha.... You know lakini kua utakua kwenye Biologia ambayo najua weaknesses zake eeeh?? Alafu bana you think i would use force?? C'mon, nitakua tayari na advantage of knowing what to do to melt you down kabla hata sijakugusa....lol
Wamekukosea nini tena mpaka uwahifadhia adhabu mbaya hivyo kichwani mwako?ntaanza kumbaka malaria sugu then yoyooo atafwata..