Hivi wanawake mna matatizo gani? (kwa wanawake tu).

watu wanaangalia mkwanja sio umri
 
na men pia muna problem gan kwann na nyinyi mushaona muna mke mmoja then ukaenda tena kutafuta mwengine s utulie tu ,wake kwa kiume hayo matatizo

Wanaume wanaweza kuwa wanawadanganya na mwanamke akaingia bila kujua. Lakini inakuwaje mwanamke unajua kabisa pale kuna wanawake wengine wawili wameolewa na wewe unakubali kabisa!
 
Mkuu, unadhani unavyofikiri wewe ndivyo binadamu mwenzako anavyofikiri. Pole!

Ah, ndugu, mambo mengine haihitaji akili nyingi, akili ndogo tu inatosha. Binti atakuwa amewapiga chini vijana wa maana anaamua kukimbilia ujane. Labda akisha kuwa mjane atawatafuta aliowatosa.
 
Tatizo letu ni kupenda vionjo vipya hata kama vimetumiwa na wengine. Maadamu hujakitumia basi ni kipya kwangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…