Hivi wanawake mnajipamba kuonesha uzuri wenu au kuvutia wanaume?

Hivi wanawake mnajipamba kuonesha uzuri wenu au kuvutia wanaume?

Chibudee

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2016
Posts
1,775
Reaction score
2,404
Ladies Naomba Majibu Tujue Mnapendeza Ili iweje
FB_IMG_16010383663406924.jpg
 
Najipamba ili kwenda sambamba na dunia inavyoenda.
Sitaki kuachwa nyuma.
 
Wanawake hawajipambi tu ili waonekane wazuri bali waonekane wanapendwa na kuna watu wanaowagharimia kwa hiyo ukimpenda mwanaume ujichunguze Kama utaziweza gharama hizo ili kumwengua anayeghalimia
 
Mwanamke apendeze bwana,uvutie wote hata mme wako ni sawa tu
 
Wanawake hawajipambi tu ili waonekane wazuri bali waonekane wanapendwa na kuna watu wanaowagharimia kwa hiyo ukimpenda mwanaume ujichunguze Kama utaziweza gharama hizo ili kumwengua anayeghalimia
Wewe unajipambaga pia?
 
Wanaume wanahangaika gym na six packs kwa lengo gani?
 
Wanawake wanajipamba kwaajili yao (ulimwengu wa wanawake) ukitaka kuamini hilo nenda kwenye sherehe wanazokutana wao pekeyao, Mfano kitchen party. It has nothing to do with men... kwanza kuna muda wanaume hawanotice stuffs nyingi za wanawake, unaweza kubadilisha kitu katika muonekano wako na asiweze kufahamu.
 
Wanawake wanajipamba kwaajili yao (ulimwengu wa wanawake) ukitaka kuamini hilo nenda kwenye sherehe wanazokutana wao pekeyao, Mfano kitchen party. It has nothing to do with men... kwanza kuna muda wanaume hawanotice stuffs nyingi za wanawake, unaweza kubadilisha kitu katika muonekano wako na asiweze kufahamu.
Mumeo anaweza asigundue mabadiliko,ila ukikutana na mie muhuni nakusifia dada umependeza leo...tabasamu kwa mbaaali
 
Mimi najipanda kwa ajili yangu mwenyewe na sio kuvutia jinsia nyingine
 
Back
Top Bottom