Hivi wanawake mnajisikiaje kwamba siku moja wazazi wako watakubadilisha na bidhaa?

Antennah

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2015
Posts
6,754
Reaction score
8,750
Ewe mwanamke na msichana.....

Hivi unajiskiaje pale unapokumbuka ile fact kwamba...

Kuna siku wazazi na ndugu zako watafanya exchange ya wewe na NG'OMBE au TUMBUZI kwa Mme wako......

Msijibu kwa mizuka tafadhar.
 
Wasiwadanganye ndio mlivyo ikuta dunia na taratibu zake
 
Ni sheria za biblia tu ambazo hazibadiliki mkuu.....
 
Unauhakika kama sijaolewa? Maana au sababu ya kutoa hiyo mifugo/pesa si kama inavyodhaniwa na mtoa mada
Kwa nn isiwe exchange ya vitu vingine kabisa vyenye mantiki na vyenye kulinda heshima ya mwanamke..........unadhani kwa nn wanawake huko vijijini wanalazimishwa kuolewa baada ya wazazi kupata promice ya NG'OMBE kutoka kwa muoaji??
 
Hizo ni tamaduni. Mzazi hapewi mbuzi kubadilishana na mimi bali ile ni shukrani anapewa na familia ya mwanaume.
Mmh wewe.......hapa tatizo sio shukurani.....kushukuru ni muhimu lkn tatzo hyo shukurani inakuweka kwnye position gn ww kama mwanamke ndani ya akili ya Mme wako na kwnye jamii.....!!???
 
sasa mjinga hapo nani aliyetoa ng'ombe kununua Mali ya wengi au aliyenunuliwa? unatoa ng'ombe sawa, lakini kwanza unakuta hana bikira na marinda hayamo, pili akikuchoka anachepuka, tatu ukifa anarithi Mali zako zote, nne anaweza beba mimba ya mtu mwingine ukalea, tano ni wajibu wako kumlisha na kumvisha lakini mnakula wengi, sita anaweza kukuletea ugonjwa Wa moyo, saba waulize wamachame........
Usijione mjanja wewe ndiye unaeliwa hapo sio wao! Unavyo mwaga shaha.... kwa mwanamke maanake una mmwagia hadi utajiri wako! Usiwadharau wanawake, wanawake ni taifa kubwa, akiamua kukupoteza ni dakika tu.
 
Kwa nn isiwe exchange ya vitu vingine kabisa vyenye mantiki na vyenye kulinda heshima ya mwanamke..........unadhani kwa nn wanawake huko vijijini wanalazimishwa kuolewa baada ya wazazi kupata promice ya NG'OMBE kutoka kwa muoaji??
Ww mama yako alichukuliwa kwa mahari ya namna gani??....ama alibakw......
 
Naona umepanic, tuliza akili umuelewe mwandishi. Hayo yote ni matokeo ya kubadilishana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…