Hivi wanawake mnajisikiaje kwamba siku moja wazazi wako watakubadilisha na bidhaa?

Ona sasa ulichokiandika hapo? Yani mzazi kakulea, kakusomesha, kukufanyia mambo yote kuhakikisha unakua salama, kakutana na changamoto za kutaka hata kutoa uhai wake.....mwisho wa siku mm nakuja na ng'ombe wa laki saba nakubeba ili uje kwangu uwe unanilelea watoto, unanipikia unanifulia na nakuwa nakulala evry day.......na hata huko kuchepuka na mim kwa kuonesha kuwa biashara nlofanya na wazazi wako ni cheap bs naamua kuchepuka sana tu na hata kuzaa watoto nje wakutosha...

Hata siku ukinizngua nakuchenjia vzuri coz u ar my property.......yani mstakabali wote wa maisha yako upo under my command......kumbuka yote hayo nimeyafanikisha kwa ng'ombe.

Ujaongea point hata kidgo....ngoja waje wenye maarifa wanijibu vzur
 
Bikra muhimu sana tu ila watu wengi hawaelewi hilo
 
Kitabu gani katika Biblia?
Mf amri ya USIZINI......unaweza kuibadirisha wewe na ikawa ruksa.?? Huwezi

Lakn hili swala la Mali kwa mwanamke linaweza badirika
 
Hakuna mwanamke mwenye akili asiyependa hilo lisimtokee.

Ni jambo la heri kwa mwanamke.
 
Ww mama yako alichukuliwa kwa mahari ya namna gani??....ama alibakw......
Alichukuliwa kwa Mali gani sifahamu....lkn hapa nimeileta kwa ujumla wake.....yani hata yeye anaweza kuwa victim wa hili tatzo.

Point yangu ni kwamba hii kitu inawa shusha sana thamani wanawake........ingekua amri yangu bs mabadiliko ya huu mfumo yangebasilishwa
 
Naona umepanic, tuliza akili umuelewe mwandishi. Hayo yote ni matokeo ya kubadilishana
Hahahaaa asante mkuu........amekuja kwa pupa wakati kwnye Uzi wangu nimeomba wasije kwa jazba. Sjui hakuenielewa
 
Ni utamaduni.....
tena huko tunakoelekea hakutakuwa na mahari.....ni wazazi na wazee wataishia kutoa baraka tu baas
 
Ni utamaduni.....
tena huko tunakoelekea hakutakuwa na mahari.....ni wazazi na wazee wataishia kutoa baraka tu baas
Na hilo ndo linalotakiwa kufanyika........nimeanzia mbali ili haya majadiliano yafike hapa ulipopaleta
 
Hujanijibu, ni kitabu kipi katika Biblia kimehalalisha mahari!?????
Nioneshe nilipoandika au kumaanisha kuna kitabu kwnye bible kimehalalisha mahali....labda nlisinzia wakati naandika!
 
Hapo ulimaanisha nin, pengine sikuelewa ndugu
Ni baada ya ww kusema " ni taratibu zipo tangu enzi hizo" ni kakwambia " ni sheria za bible tu ambazo hazibadiliki. Nikimaanisha hili swala la Mali tunaweza kulibasilisha likawa na mantiki
 
Dah kwa hii mada yako imeonyesha upeo wako wa kufikiri ulivo. Mi ka mwanamke siwezi kumjibu mwanaume anayewaza mambo ya ajabu hivi
 
Dah kwa hii mada yako imeonyesha upeo wako wa kufikiri ulivo. Mi ka mwanamke siwezi kumjibu mwanaume anayewaza mambo ya ajabu hivi
Asante kwa kushiriki
 
Ni baada ya ww kusema " ni taratibu zipo tangu enzi hizo" ni kakwambia " ni sheria za bible tu ambazo hazibadiliki. Nikimaanisha hili swala la Mali tunaweza kulibasilisha likawa na mantiki
Angalia vizur braza utakuwa umechanganya madesa
 
Ngoja waje wajibu wenyewe

Ila ilibidi kwanza ijulikane maana hasa ya mahari, lengo la mahari, asili yake na mengineyo.

Watu wanaenda kinyume na mafundisho juu ya mahari hapo ndio tatizo hili linakuja wazazi kifanya mabinti zao kama sehemu ya kupata chochote kitu

Tulienda sehemu kupeleka mahari, tuliyoyakuta ni km komoa eti mama mtu anadai milion 7 kisa kasomesha, sijui mazagazaga gani na km fidia ya jamaa yangu kumzalisha mtoto wao, sasa mimi nikashangaa huyu mzazi mwanae anamuuza au anamuweka bondi!!?
Ikabidi nimueleze ukweli yule mama hiko ni kiwango kikubwa na anafanya km anamkomoa akisema alipwe kisa kasomesha kwahyo jamaa ndio anakuwa kanunua elimu ya binti, anakuwa kamchukua kimoja, yeye mzazi anakuwa hana nafasi tena, jibu ni la hasha!! Basi kikubwa hapa ni kuwaombea dua hawa vijana wakaishi vyema waje kukutunza na wewe mzazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…