Hivi Wanawake tukoje?.......

hapa hatuuziani sumu kama za wanaisiasa wa tanzania......umesema "wanaume......." ndio nakwambia kwa kauli yako umefanya reasearch? toa ushahidi wako haya ndio maneno ya saluni eti "wanaume vile wanawake vile"

Shem ndivyo walivyo hao, utaumiza kichwa bure!
 
Watu wana hila za panya, kujipitisha sebuleni wageni wakiwepo.
Maisha ya ndoa mh
 
hapa hatuuziani sumu kama za wanaisiasa wa tanzania......umesema "wanaume......." ndio nakwambia kwa kauli yako umefanya reasearch? toa ushahidi wako haya ndio maneno ya saluni eti "wanaume vile wanawake vile"

Shem ndivyo walivyo hao, utaumiza kichwa bure!

Mmesikika!
Huyo anayedai research.. sijui kama kila asemacho kakifanyia research!
 

Kwa hiyo Penny ulikuwa unamzuga tu na zile tenzi zoooote tamutamu?
 
Huyo ndo Fidel bwana, mzee wa .... nini tena ngoja nijaribu kukumbuka.
 
Naomba ufafanuzi (kutoka kwa wasomi wa Vitabu Vitakatifu):

Ni wakati gani mwanamume (aliyeoa) na mwanamke (aliyeolewa) anapotambulika kuwa AMEFANYA ZINAA?

Maana Nabii Isaya alipowaambia mayahudi pale kwenye sinagogi kuwa kama kuna mmoja wenu hajawahi kufanya zinaa basi na awe wa kwanza kumrushia jiwe yule aliyekamatwa akizinii!!!!

Alipogeuka - hamna mtu!!!!
 
Baba mie sikujibu kama msomi najibu kwa ninavyoelewa mimi.

Kuzini ni pale
1. Mtu (Asiye katika ndoa) akikutana kimwili na mtu mwingine (asiye katika ndoa)
2. Wanandoa wakatoka na kuzini na mtu mwingine yeyote ambaye si mwanandoa wake mf. Mrs. x akazini na Mr.y (mume wa Mrs y) au akazini ni G (ambaye ni bachelor)
 

Hivi alikuwa Nabii Isaya kweli? Naona kama alikuwa Yesu ndo alosema haya! Niko mbali sana na maandiko cku hizi.
 
Kama tumeamua kuoa/kuolewa halafu level ya cheating inakuwa kubwa kiasi ninachokiona sasa, then ndoa nyingi ni batili.Hazipo kama ndoa bali sehemu ya watu kutimiza wajibu kwamba nilioa/kuolewa.
Ninachojiuliza ninini ndo tatizo la haya yanayoendelea? SMS imefungua macho kwasababu jamaa ameiona. Ngapi zinakuwa deleted mara zinaposomwa? We acha tu..uaminifu umekuwa tatizo sugu na leo hii hakuna tofauti kati ya wanaume na wanawake.Wote tunafanana fanana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…