<br />Nimeamini mwanamke c wa kumuamini na c wote ILA wengi wao cjui wana fikiria kitu gani,Mfano jana kuna demu ameletwa na rafiki yake ambaye ni shem wangu basi tukapiga story sana yule demu akaonyesha dalili ya kunipenda kama unavyojua wanaume nikamuonyesha NAMI nimekufa nimeonza KUMBUKA ndo tumeonana kwa mara ya kwanza basi kwakuwa rafilki yangu amesoma mchezo akabidi ajifanya anaenda kutembea na demu wake ili mm nimalize kazi.Kweli bana tukafanya mambo vibaya mno namshukuru mungu nilikuwa na kinga bila hvyo ningekuwa katika mawazo kama Anangoma kwasabbu amejiraisisha,baada ya rafiki yangu kurudi akaniambia demu wake na huyu demu niliyekula URODA ni mtu na wifi yake,Nikamuuliza ataenda kumwambia kaka yake kama demu wake nimepiga akaniambia wanafichiana SIRI c raisi.NiMEAMINI WANAWAKE NI DHAIFU SANAAAAAAA narudia tena c wote bali wengi wao
<br />Hata wewe ni mdhaifu tena sana unawezaje kulala na Mwanamke uliyemwona mara moja?
<br />Tafuteni wake muoe, usijidanganye kuwa ulikuwa na kinga, ni kinga ipi hiyo ambayo iko full proof? condom wamesha sema sio full proof.<br />
<br />
Unafanya uasharati halafu unakuja jisifu? ama kweli hili ni Taifa la dhambi.
hahahaaaa....!!.duh!.kauli nyingine ni sawa na kujitoa muhanga.hapa wakina dena,lizzy,husninyo na sample zao zote watakuwa wamenuna na wanakutafutia tusi linalofaa la kukutukana wamekosa.miaKuna baadhi ya wanawake wana akili siku tatu za wiki,
<br />Hata wewe ni mdhaifu tena sana unawezaje kulala na Mwanamke uliyemwona mara moja?
nyie ndo nmalazimisha tufanye hivyo.nikisema nikuache kwenye mazingila kama hayo unaenda kunitangazia hadi kwa ndugu zangu eti haifanyi kazi.utasikia anaogopa mademu.so mtu unafanya shingo upande ili kujilindia heshima mitaani.hao walipanga ndo maana mwenzake kazuga kutoka halafu huyu aliyebaki kaanza kujiachia.usiulize alivaaje.wakubwa tushajua.mia
unaona sifa kwa uliyoyaelezea,umehisi umemkomoa huyo msichana ila na wewe umekomolewa hivyo hivyo,wewe kicheche pamoja na huyo msichana
dah et wanawake wana akili ya mapenz..?
wewe mbona ujisemi?wewe una akili kweli?umeonana nae leo na kumtia leo then wamnyoshea kidole mwanamke et ana akili?
wewe mcahngo wako auuon kwenye ilo?au alikubaka?
wewe na uyo demu wote vcheche tu akuna mtu wa kumuona mwenzake hana akili la sivyo ungekaa kimya cz ata nia,lengo la kuleta apa sjapata mantiki yake....AU TUJUE JANA ULICHAPA?
wewe ungekua unajieshimu.si kicheche wa kiume usingefanya fasta ivo
yeye angekuwa anajieshimu pia asingekubali kusanuliwa kirahisi ivyo wala asingejirahisisha
so WEWE NA YEYE NDO WALE WALE
<br />
<br />
Is ur mother one of them?
Kuna baadhi ya wanawake wana akili siku tatu za wiki,
<br />
<br />
Is ur mother one of them?
Nimeamini mwanamke c wa kumuamini na c wote ILA wengi wao cjui wana fikiria kitu gani,Mfano jana kuna demu ameletwa na rafiki yake ambaye ni shem wangu basi tukapiga story sana yule demu akaonyesha dalili ya kunipenda kama unavyojua wanaume nikamuonyesha NAMI nimekufa nimeonza KUMBUKA ndo tumeonana kwa mara ya kwanza basi kwakuwa rafilki yangu amesoma mchezo akabidi ajifanya anaenda kutembea na demu wake ili mm nimalize kazi.Kweli bana tukafanya mambo vibaya mno namshukuru mungu nilikuwa na kinga bila hvyo ningekuwa katika mawazo kama Anangoma kwasabbu amejiraisisha,baada ya rafiki yangu kurudi akaniambia demu wake na huyu demu niliyekula URODA ni mtu na wifi yake,Nikamuuliza ataenda kumwambia kaka yake kama demu wake nimepiga akaniambia wanafichiana SIRI c raisi.NiMEAMINI WANAWAKE NI DHAIFU SANAAAAAAA narudia tena c wote bali wengi wao