Usikate tamaabiashara zenyewe zimegoma
okay.... ila kila kitu shidaUsikate tamaa
kweli mkuuKabisa yaani utegemee mshahara tu lazima ufeli tu
Utachomokaje bila katiba Mpya?Habari waungwana, kwangu naona kama haiwezekeni kutegemea mshahara pekee wakunifanya nijikwamue kimaisha, hivyo imenilazimu niingie kwenye biashara kwa haraka sana.
Sikuona kama nitapiga hatua zaidi kwa kutegemea mshahara pekee, na ukiwa namajukumu makubwa ya wanaokutegemea.
By
Dimaa.