Nikweli, manake kwa ukwasi huu hapanaHapo mh kuna namna mbili kwanza unapo kuwa mtumishi ktk taasisi frani frani moja unatakiwa kujiongeza unapo pata haki yako ktk mwezi unatakiwa uwe na wazo ili uongeze kipato chako kama una pata laki 5,jibane tafuta vijana au kijana alafu wazo lako ktk mazingira uliopo ndo lifanye kazi ssa wakufanyie kazi uliyo waza hapo utaona unaongeza thamani ya haki yako ya mwezi.utajikuta ssa kwa mwezi unapata laki 5,ukijumlisha na ya wazo lako utapata laki 1,2,3..., na vijana umewalipa utakuwa una laki 6,7,8..... kwa mwezi ssa ukiendelea kwa mda wa mwaka mmoja unajiongeza kingine tena unajikuta ssa ukipiga hesabu hela unayolipwa na unayo ingiza ktk biashara ndipo unapo amua kuacha kazi ili ukasimamie miradi yako ndo maana utakuta watumishi wanaacha kazi wanajikita ktk biashara.mshahara laki 5 na biashara inaingiza kwa mwezi 1.2/1.5mill kipi bora sibora ukasimamia miradi yako ukiwaachia wasimamizi wanakuibia pesa inayo kalibia mshahara wako bora ukakabe ata wakiiba isiwe kubwa ya kukuumiza,wizi upo ilinawao wapate kuendesha maisha yao kiaina.
Tupe siri ya mafanikio mkuuMimi binafsi kipato changu kwa mwezi hakizidi laki 7 lakini kwa sasa namiliki nyumba ya kisasa na mwisho wa mwaka huu naagiza gari kwa ajili ya usafirishaji..kila kitu ni mipango na malengo...jitathimin na jielewe kidogo kina maana kuliko kikubwa
Wanalipwa below 1m?JIBU ndio. Uthibitisho, rejea watumishi wa umma kama Mtemi Endrew chenge, Nazir karamagi, Edward Lowassa, engineer Fredrick Sumaye, Dr kafumu, AG Wereme, AG mwanyika. Hawa wote wameishi kama watumishi wa umma na mawe waliyonayo hakuna wakuwagusa.
Mkuu we unafanya kazi JF!?Haya maisha bila kujiongeza yanazidi kuwa magumu mkuu
Kukaza kiongozi 2tafika2,japo tutakuwa tumechokaNikweli, manake kwa ukwasi huu hapana
Hahahahaha ndiyo since 2013 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji106][emoji106]Mkuu we unafanya kazi JF!?
AiseeeehHaya maisha bila kujiongeza yanazidi kuwa magumu mkuu
Unataka kufundishwa jinsi ya kutumia mshahara?Kabisa yaani utegemee mshahara tu lazima ufeli tu
Mbona hawashtakiwi?mhii si kweli, hawa ni majambawazi
Teh teh tehAiseeeeh
watu na nafasi zao
Mkuu ngoja niwe muwaziTeh teh teh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Go on Mr. JF ni ya kila mtu [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Mkuu ngoja niwe muwazi
Hiyo nafasi yako naitafuta sana
ukizubaa
na take over
Hongera sasa tunafahamu kwamba una biashara.