Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,204
Wanabody kwa wanaojua wanaweza tujuza kama Warioba lihoji pia jamaa wa ulinzi na usalama wa nch ili watujuze kama ni mfumo gani wanauona ni mzuri kwa usalama wa nchi yetu.
Nasema hivi kwa kuwa ianwezekana wakawa wamechoshwa sana na ulinzi wa nchi ktk njia za CCM ambzo hazina formula ya kimahesabu.
Nasema hivi kwa kuwa ianwezekana wakawa wamechoshwa sana na ulinzi wa nchi ktk njia za CCM ambzo hazina formula ya kimahesabu.