Hivi wasandawe na wahadzabe wametengewa sehemu yao maalumu?

Hivi wasandawe na wahadzabe wametengewa sehemu yao maalumu?

Wahadzabe wanaishi kwenye mapori ya akiba wale wanaruhusiwa had kuvuta bangi wala hawakamatwi maana hawatumii hospital za serekali wala shule, kwanza hawajuagi hata wako nchi gan had waambiwe wala hawajui habar za mawaziri au Marais, hawajawahi kuomba maji wala barabara na umeme hata kiswahili hawajui kabisa wala hawajawahi kuomba msaada wa chakula/mavazi, wanaenda kuvuna asali huku wanafukuza nyuki kama nzi wengne wanawatembelea kwenye mwili inasemekana wanakula aina nyingi sana za wanyama wao wanakula had nyani kwanza nyan akimuoma mu hadzabe anatoka nduki mwenyewe ni sehem ya vivutio sana wale jamaa hawana stress kabsa muda wote wana furaha hawajui internet wala hajui smartphone, hawana nyumba za kifahari wala magari ila wako na furaha tu.
 
Wahadzabe wanaishi kwenye mapori ya akiba wale wanaruhusiwa had kuvuta bangi wala hawakamatwi maana hawatumii hospital za serekali wala shule, kwanza hawajuagi hata wako nchi gan had waambiwe wala hawajui habar za mawaziri au Marais, hawajawahi kuomba maji wala barabara na umeme hata kiswahili hawajui kabisa wala hawajawahi kuomba msaada wa chakula/mavazi, wanaenda kuvuna asali huku wanafukuza nzi kama nyuki wengne wanawatembelea kwenye mwili inasemekana wanakula aina nyingi sana za wanyama wao wanakula had nyani kwanza nyan akimuoma mu hadzabe anatoka nduki mwenyewe ni sehem ya vivutio sana wale jamaa hawana stress kabsa muda wote wana furaha hawajui internet wala hajui smartphone, hawana nyumba za kifahari wala magari ila wako na furaha tu.
Hao hawana tofauti na wale Wasukuma wa kule Bonde la Ziwa Rukwa kule Sumbawanga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reservation na conservation yao ni muhimu sana kukuza tourism industry
Ni vizuri sana hili. Wanatakiwa kutengewa eneo mtu yeyote asiingie. Hawa kabla ya wabantu kuja walijaa Nchi zote hadi Afrika Kusini. Tumewapukutisha vibaya mno. Wamebaki Tanzania na kidogo South, Namibia na Botswana.
 
Wahadzabe wanaishi kwenye mapori ya akiba wale wanaruhusiwa had kuvuta bangi wala hawakamatwi maana hawatumii hospital za serekali wala shule, kwanza hawajuagi hata wako nchi gan had waambiwe wala hawajui habar za mawaziri au Marais, hawajawahi kuomba maji wala barabara na umeme hata kiswahili hawajui kabisa wala hawajawahi kuomba msaada wa chakula/mavazi, wanaenda kuvuna asali huku wanafukuza nyuki kama nzi wengne wanawatembelea kwenye mwili inasemekana wanakula aina nyingi sana za wanyama wao wanakula had nyani kwanza nyan akimuoma mu hadzabe anatoka nduki mwenyewe ni sehem ya vivutio sana wale jamaa hawana stress kabsa muda wote wana furaha hawajui internet wala hajui smartphone, hawana nyumba za kifahari wala magari ila wako na furaha tu.
Nikusahihishe hapo kwenye hospital huwa wanaenda ,shule nliyosoma singida ipo karibu na makazi ya wahadzabe na nlishawahi kuongozana na mmoja wa akina mama na mtoto wake wakienda kwenye health center ambapo na mim nlikua nnaelekea huko huko.
Harufu zao ni balaa ilibidi milango iachwe wazi.
Kuna mwingine tulipanda naye gari kutoka singida to dodoma tukampa biscuits nayeye akanunua soda akanywa akatupa tunywe aiseh tulitamani kukimbia!
Harufu yake tu ilikua inatutesa sembuse soda aliyoweka mate , tuliikataa kistaarabu.
 
Back
Top Bottom