Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Huwa najikuta tu nawaza, mtaani kina da Mwaju wakijua wameshea au kuibiana mwanaume watazichapa si kitoto, ngumi za kuchana shumizi na gagulo dera litageuka kimono. Mara chache kwa wanaume kumaindiana kisa mwanamke japo inatokeaga pia.
Cha kushangaza kwa wasanii huwa ni tofauti utakuta wameshea, wamechukuliana ila zinaiva tu na kuitana dada, brother hivi hawana wivu?
Wema, Wolper, Jokate na Penny hawa ni wapenzi wa zamani wa Simba ila wanaiva tu bila shida.
Lulu na Wema ni marafiki zinaiva na walishawahi kuwa wapenzi wa Kanumba.
Wolper na Hamisa hawa walishakua wapenzi wa Diamond ila wako poa kabisa.
Majizzo na Diamond ni waume wenza kwa Hamisa wote wamezaa nae ila wako poa na wanasapotiana kazi zao.
Idris na Diamond ni waume wenza kwa Wema na wako sawa tu.
Aunt Ezekiel na Mwengi hawa ni wazazi wenzie Moze Iyobo na wako poa wanapostiana picha zao. Na wengine wengi.
Nawaza tu!
Cha kushangaza kwa wasanii huwa ni tofauti utakuta wameshea, wamechukuliana ila zinaiva tu na kuitana dada, brother hivi hawana wivu?
Wema, Wolper, Jokate na Penny hawa ni wapenzi wa zamani wa Simba ila wanaiva tu bila shida.
Lulu na Wema ni marafiki zinaiva na walishawahi kuwa wapenzi wa Kanumba.
Wolper na Hamisa hawa walishakua wapenzi wa Diamond ila wako poa kabisa.
Majizzo na Diamond ni waume wenza kwa Hamisa wote wamezaa nae ila wako poa na wanasapotiana kazi zao.
Idris na Diamond ni waume wenza kwa Wema na wako sawa tu.
Aunt Ezekiel na Mwengi hawa ni wazazi wenzie Moze Iyobo na wako poa wanapostiana picha zao. Na wengine wengi.
Nawaza tu!