Hivi wasanii nao huwa wanahudhuria Ibada?

No Escape

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2016
Posts
6,663
Reaction score
7,785
Nauliza tuu kwa sababu naona kama wenzetu wapo tofauti sana au na huko ibadani nako wanaenda kisanii tu!
 
Huwa wanaenda lakini nadhani in kipindi ambacho kuna sikukuu kubwa mfano, maulid, eid Mubarak, Christmas day, boxing day, pasaka, n.k

Sidhani kama siku za kawaida huwa wanahudhuria kwenye nyumba za ibada.

N.B
Sina hakika ila nahisi hivyo, maana kwenda ibadani sio lazima media zikutangaze uonekane kuwa una hudhuria ibada.
 
Kuna Cku Kiba Alipost Yuko Jida Ila Cjui Wanaendaga Kufanya Nin Hv Mtu Kama Shishi Akienda Jida Anaenda Kuckiliza Ili Abadilike Au Anaenda Kumwomba Mungu Ampe Maujuz Zaid Jukwaani Hata Wanaoenda Church Cjui Tu Huwa Wanafikiliaje Na Huku Anajua Kwamba Baadae Anapanda Stejini Kushika Viuno Vya Akina Delila ,,,, OK SIO MBAYA MAANA YESU ALIKUJA KWA WENYE DHAMBI(nikiwemo mimi na wao kama wana dhambi) NA C KWA WATAKATIFU
 
Hela inayopatikana kutoka kwenye show za miziki/kuuza kazi zao wanatoa kama michango kujengea nyumba za ibada hii nayo ikoje?
 
Unaenda Jida halafu ukirudi unawakatikia video queens
 
Nauliza tuu kwa sababu naona kama wenzetu wapo tofauti sana au na huko ibadani nako wanaenda kisanii tu!
Wasaniii wengi hasa wa nyimbo za kikiristo huenda kanisani wakilipwa kuimba wako wachache hukaa hadi mwisho wa ibada wengine wakiimba kawimbo kao koko kamoja wanasepa
 
Wasaniii wengi hasa wa nyimbo za kikiristo huenda kanisani wakilipwa kuimba wako wachache hukaa hadi mwisho wa ibada wengine wakiimba kawimbo kao koko kamoja wanasepa
We Nawe Soma Thread Uelewe Ni Wasanii Gan Wanazungumziwa
 
Mwanaadamu yeyote mwenye God Fear hu anatii maamrisho ya Muumba ..haijalishi kazi yake au time yake!! ibada ni chakula cha roho na sifa ya Amani....
 
Jida ndio nini mkuu?
 
Wengi wanapenda kuhudhuria ibada za mazishi kwa ajili ya kupata attention ya hadhira.
 
Mwanaadamu yeyote mwenye God Fear hu anatii maamrisho ya Muumba ..haijalishi kazi yake au time yake!! ibada ni chakula cha roho na sifa ya Amani....
[emoji16] [emoji51] [emoji119] [emoji119]
Acha uongo wewe. We mbona huendi ibadani....
 
Ibadani wakijua kuna camera za kuwauzisha huwa wanafurika kwa makundi.
 
[emoji16] [emoji51] [emoji119] [emoji119]
Acha uongo wewe. We mbona huendi ibadani....
Mie ni "khamsa Swalawat"..... Nomba uwaulize maswahiba zako Nini maana yake???? halafu ndo ujibu... jee ikuombee?
he he he
 
Mi naonaga wapuuzi tu kujifanya tofauti wakati nao binadamu kuna mmoja juzi tu apa alifiwa majirani wakajaa wakafanya kazi zote pale home kwake vi sanii vimekaa pembeni na kupiga selfie tu chakushangaza baada ya msiba kuisha katoa appreciation kwa wasanii wenzie tu majirani kawaona kinyesi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…