pwilo
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 10,913
- 13,876
Habari za ijumaa wakuu na wadau wa jukwaa hili wasalam
Kuna hii tabia ya baadhi ya wasanii wa Tanzania hasa wa zamani kung'ang'ania kurudi kwenye game wakati mda wao umeshapita.
Kila kitu na wakati wake wakati wao umeshapita wakubali tu na haiwezi kuwa Kama zamani hata wa kirudi kwenye game kwani zama zimebadilika Sana wakubali matokeo.
Hawa ni baadhi ya wasanii wanaolazimisha au media kulazimisha wawe juu ila wakati umewatupa mkono ,
1.saida karoli 2.q chief 3.matonya 4.ray c 5 mb dog 6.chidi benzi 7.dully Sykes 8.keisha 9.z anto
Wapo wengi ila hao ni baadhi yao wakubali matokeo na wapambane na Hali zao Kama walishindwa kuwekeza kipindi hicho ndo imekula kwao.
Kuna hii tabia ya baadhi ya wasanii wa Tanzania hasa wa zamani kung'ang'ania kurudi kwenye game wakati mda wao umeshapita.
Kila kitu na wakati wake wakati wao umeshapita wakubali tu na haiwezi kuwa Kama zamani hata wa kirudi kwenye game kwani zama zimebadilika Sana wakubali matokeo.
Hawa ni baadhi ya wasanii wanaolazimisha au media kulazimisha wawe juu ila wakati umewatupa mkono ,
1.saida karoli 2.q chief 3.matonya 4.ray c 5 mb dog 6.chidi benzi 7.dully Sykes 8.keisha 9.z anto
Wapo wengi ila hao ni baadhi yao wakubali matokeo na wapambane na Hali zao Kama walishindwa kuwekeza kipindi hicho ndo imekula kwao.