Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,052
- 4,104
Nasikia kila siku wasanii wanapiga shoo ndio kipato wanachotegemea sana
sasa nachojiuliza sijawahi kusikia kama hili jambo linaongelewa sana kuhusu wasanii wa bongo fleva kulipa kodi mana naona tra kama wamewakomalia wafanyabiashara tu mtu unakabiashara tu kadogo hakaeleweki inabidi ulipe kodi sasa nataka kujua ni diamond tu ndio anaelipa kodi au ni wasanii wote mana sijawahi kusikia
Je tra huwa wanasimama milangoni kipindi mashabiki wanaingia kweny show? au wasanii wanalipia kodi zao moja kwa moja basata?
na wasanii naona wanasema wanapiga show moja mil 1 hadi mil 5 na wanafanya video za mil 20 hii imekaaje
sasa nachojiuliza sijawahi kusikia kama hili jambo linaongelewa sana kuhusu wasanii wa bongo fleva kulipa kodi mana naona tra kama wamewakomalia wafanyabiashara tu mtu unakabiashara tu kadogo hakaeleweki inabidi ulipe kodi sasa nataka kujua ni diamond tu ndio anaelipa kodi au ni wasanii wote mana sijawahi kusikia
Je tra huwa wanasimama milangoni kipindi mashabiki wanaingia kweny show? au wasanii wanalipia kodi zao moja kwa moja basata?
na wasanii naona wanasema wanapiga show moja mil 1 hadi mil 5 na wanafanya video za mil 20 hii imekaaje