Davion Delmonte Jr.
JF-Expert Member
- Oct 27, 2013
- 2,149
- 1,718
Nilisikia huu utaratibu kwamba watakuwa wanalipwa pindi nyimbo zikipigwa redioni. Hivi ni pesa ngap? Inafika elfu hamsini kwa siku ? Ama kuna utaratibu gani unatumika?
Mi naona hamna realistic kabisa kama itakuwa ni pesa mbuzi. Maana hata nyimbo nyingi zinazopigwa ni za wasanii wakubwa waliotoka tayari sasa mfano ndo umpe elfu 50 ama hiyo pesa ambayo naamini itakuwa ndogo itawasaidia nini? Bora wangeachana na hii kitu
Na hata kama ni kulipwa hakuwezi kuwa na scale moja ya kulipa maana nyimbo ya msanii kama Diamond inavuta attention ya watu wengi hivo huwezi fananisha na nyimbo ya wasanii wengine wadogo wadogo. Kwa hiyo sidhani kama wasanii watalipwa kwa kiwango sawa.
kwanza ingepaswa msaanii mkubwa kama Diamond asisambaze nyimbo zake kwenye radio bure, radio wanapaswa wanunue tena kwa bei kubwa sana. Imagine Diamond anatambulisha ngoma mpya radioni Je ni watu wangapi watataka kuisikia? watu kibao na hivo basi nyimbo ya Diamond inavutia matangazo kwa radio ambayo yanakuwa na tozo kubwa na faida kubwa kwa radio. Mameneja wa D fanyia kazi hili suala. Ameshakuwa msanii mkubwa hamna haja ya kusambaza nyimbo bure tena radioni
Mi naona hamna realistic kabisa kama itakuwa ni pesa mbuzi. Maana hata nyimbo nyingi zinazopigwa ni za wasanii wakubwa waliotoka tayari sasa mfano ndo umpe elfu 50 ama hiyo pesa ambayo naamini itakuwa ndogo itawasaidia nini? Bora wangeachana na hii kitu
Na hata kama ni kulipwa hakuwezi kuwa na scale moja ya kulipa maana nyimbo ya msanii kama Diamond inavuta attention ya watu wengi hivo huwezi fananisha na nyimbo ya wasanii wengine wadogo wadogo. Kwa hiyo sidhani kama wasanii watalipwa kwa kiwango sawa.
kwanza ingepaswa msaanii mkubwa kama Diamond asisambaze nyimbo zake kwenye radio bure, radio wanapaswa wanunue tena kwa bei kubwa sana. Imagine Diamond anatambulisha ngoma mpya radioni Je ni watu wangapi watataka kuisikia? watu kibao na hivo basi nyimbo ya Diamond inavutia matangazo kwa radio ambayo yanakuwa na tozo kubwa na faida kubwa kwa radio. Mameneja wa D fanyia kazi hili suala. Ameshakuwa msanii mkubwa hamna haja ya kusambaza nyimbo bure tena radioni