Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Hawa wasanii sijui wakoje kila siku nikuomba misaada, kama huyu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu kazidi aisee, kila siku yeye tu!? Kuna watu wengi wa kusaidiwa.Hawa sanii sijui wakoje kila siku nikuomba misaada kama huyu
View attachment 3048609
Amesaidiwa sana, hebu wasaidiwe wahitaji wengine...kwanza huyo anajiweza angalau kuliko mababu na mabibi wanaoishi maisha ya taabu wakiombaomba mitaani. Huyo ni tapeli tuLabda kweli Ana shida
Hakuna mtu anafurahia kuomba cha mtu..
Kama Rais Samia atamsaidia itakuwa jambo jema
Wasanii tanzania sjui hao waimba amapiano na bongo movie ni watu wa kuomba omba...Amesaidiwa sana, hebu wasaidiwe wahitaji wengine...kwanza huyo anajiweza angalau kuliko mababu na mabibi wanaoishi maisha ya taabu wakiombaomba mitaani. Huyo ni tapeli tu
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Kwahiyo mbusuu yake ulitaka uipige bure buresh?..Kuna kipindi nilikuwa naongea nae kabla hata sijamtongoza akanipiga kizinga cha laki 3 nikaona huyu demu sio aisee
Huyo alitapeli watanzania kiasi kikubwa sana cha pesa.Labda kweli Ana shida
Hakuna mtu anafurahia kuomba cha mtu..
Kama Rais Samia atamsaidia itakuwa jambo jema
Huyo alitapeli watanzania kiasi kikubwa sana cha pesa.Labda kweli Ana shida
Hakuna mtu anafurahia kuomba cha mtu..
Kama Rais Samia atamsaidia itakuwa jambo jema
Mhasibu unaona anavyong'aaAmezidi naye, kula watu wana shida hata mlo hawana. Yeye angalau hata ya kupaka makeup anayo
Hana wazazi manina zake?Labda kweli Ana shida
Hakuna mtu anafurahia kuomba cha mtu..
Kama Rais Samia atamsaidia itakuwa jambo jema