Hivi Wastara mbona anapenda sana misaada na akipatiwa humuoni tena?

Labda kweli Ana shida
Hakuna mtu anafurahia kuomba cha mtu..
Kama Rais Samia atamsaidia itakuwa jambo jema
Amesaidiwa sana, hebu wasaidiwe wahitaji wengine...kwanza huyo anajiweza angalau kuliko mababu na mabibi wanaoishi maisha ya taabu wakiombaomba mitaani. Huyo ni tapeli tu

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Amesaidiwa sana, hebu wasaidiwe wahitaji wengine...kwanza huyo anajiweza angalau kuliko mababu na mabibi wanaoishi maisha ya taabu wakiombaomba mitaani. Huyo ni tapeli tu

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Wasanii tanzania sjui hao waimba amapiano na bongo movie ni watu wa kuomba omba...
Wao wanajiona kama wao ndiyo
Special sana na shida zao
Nchi sahv inaonekana changamoto za matatizo namba moja ni za wasaniii tuuu

Ova
 
Kwani huyu dada mnamsimanga Nini?
Kaomba fedha?
Ameomba msaada wa kisheria labda Ili apate haki yake alodhulumiwa na wachina..maana yeye kama yeye inaonesha kashindwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…