Dunia ni duara Kaka ,Sasa hivi zimeenda kwa wengine ipo siku zitakuja kwangu tena labda.Hahaha , sasa hivi pesa zimeenda wapi mkuu
Dunia ni duara Kaka ,Sasa hivi zimeenda kwa wengine ipo siku zitakuja kwangu tena labda.
Oooh my akili ,Mimi nikiona hivi na nguvu za kufikiri upotea kabisa
Mimi mwenyewe siwezi kutunza hela nikaacha kula watoto wazuri. Sema mabonge kama huyo wa kwenye picha sio preference yangu. Hao hupendeza ndani ya nguo tu.
Yupo si bongomvie ishakufa mkuu!Walikuwaga power couple bongo movie enzi hizo.
Nakumbuka mamaa alivyokuwaga anapambana kumtibu mumeo sajuki kwa muda mrefu haki kifo chake.
Wastara pia alipataga ajali ambayo ilipelekea yeye kukatwa miguu.
Aisee kama ni majanga aliyapitia aiseeh.
View attachment 3212299
Watu wamejipigia au Sio π ila kuwa mwanamke afu kichwa maji ni kazi sana aiseeHuyo kaliwa weeee,mwishowe kakubali yaishe
Umeanza kumiliki smartphone lini?Walikuwaga power couple bongo movie enzi hizo.
Nakumbuka mamaa alivyokuwaga anapambana kumtibu mumeo sajuki kwa muda mrefu haki kifo chake.
Wastara pia alipataga ajali ambayo ilipelekea yeye kukatwa miguu.
Aisee kama ni majanga aliyapitia aiseeh.
View attachment 3212299
Huyo anaomba hela kama yatima vile,hakunyimi namba ukimuomba ila baada ya hapo ninunulie umeme,nisaidie 30k,naomba hela ninunue gesi yan tafran..Umeanza kumiliki smartphone lini?
Huyo ameshaolewa na kuachika mara nyingi ,na ameshatapeli wengi sana kwa kisingizio cha ulemavu.